TUSHIKAMANE PAMOJA FOUNDATION WAIOMBA SERIKALI KUWAPA KIBALI CHA KUANZA KULEA...
Na Avila Kakingo,Globu ya Jamii.ASASI ya kiraia ya Tushikamane pamoja foundation imeiomba serikali kuwapa kibali cha kuwaruhusu kuanza kuwatunza wazee katika nyumba ya asasi hiyo iliyopo Kwembe...
View ArticleULEGA AAGIZA HALMASHAURI ZOTE NCHINI KUANZISHA VYAMA VYA USHIRIKA ILI...
NAIBU Waziri wa Uvuvi na Mifugo na Mbunge wa Mkuranga Mh. Abdallah Ulega ameziagiza halmashauri zote nchini kuanzisha vyama vya ushirika vya wavuvi ili kuwapa uwezo wa kukopa fedha na kununua zana za...
View ArticleMAFANIKIO TUNAYOYAPATA NI MABORESHO NA MAONI YA WATEJA - NMB
BENKI ya NMB imesema maboresho makubwa iliyoyafanya ni matokeo ya mirejesho kutoka kwa wateja wake. Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar es Salaam na Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi wa NMB, Bw. Omari...
View ArticleWAZIRI MKUU MAJALIWA MGENI RASMI MAONESHO YA SIDO KITAIFA SIMIYU
Na Stella Kalinga, Simiyu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Maonesho ya Kwanza ya Viwanda vidogo (SIDO) ambayo Kitaifa yatafanyika...
View ArticleIGP SIRRO AWASHUKURU WANANCHI
Na Ahmed Mahmoud Arusha Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Simon Sirro amewashuru wananchi kwa ushirikiano uliopelekea matukio ya uhalifu nchini kupungua kwa kiasi kikubwa ikiwemo matukio ya matumizi ya...
View ArticleMAJAMBAZI SUGU WAWILI HATARI WANASWA MWANZA
· Mmoja anaswa na bastola,risasi 42 na magazine mbili, fedha tasilimu sh. milioni 1.3 za hongo barabarani, simu tatu na kadi nane za mitandao tofauti. · Mwingine anaswa na Bendera ya Taifa, king’amuzi...
View ArticleABAMBWA KWA KUJIFANYA DK BINGWA HOSPITALI YA BUGANDO
NA BALTAZAR MASHAKA, MWANZA DAKTARI Bingwa bandia wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando (BMC) ya jijini Mwanza Joseph Samwel au Nkwabi Samwel maarufu Kabinza (26) anayedaiwa kujifanya daktari...
View ArticleBALOZI KAZUNGU: NINGEPENDA NIONE TAKWIMU ZA BIASHARA, UWEKEZAJI KATI YA...
Na Stella Kalinga, Simiyu.Balozi wa Kenya nchini Tanzania, Mhe. Dan Kazungu amesema angependa kuona katika kipindi chake atakachokuwepo hapa nchini akiiwakilisha nchi ya Kenya ushirikiano wa...
View ArticleSERIKALI HAITALIPA MADENI YALIYOKOPWA NA USHIRIKA-MAJALIWA
*Awataka viongozi wa vyama vya ushirika wawe waaminifuWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka viongozi wa vyama vya ushirika nchini kutumia vizuri rasimali za vyama hivyo na kwamba Serikali haitalipa...
View ArticleDAWASA YAENDELEA KUTEKELEZA OPERESHENI YA KUZUI UVUJAJI WA MAJI
Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (DAWASA) imeanzisha Operesheni maalum ya kupambana na uvujaji wa maji katika Jiji hilo ikiwa ni moja ya hatua zinazochukuliwa na Mamlaka hiyo kuboresha...
View Article