MGENI RASMI MECHI YA SIMBA NA YANGA SPIKA JOB NDUGAI
Mgeni rasmi katika mchezo wa watani wa jadi kati ya Simba na Yanga, Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai akiwa ameongozana na Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakwembe...
View ArticleNEWS ALERT: KIPINDI KIPYA KUTIKISA TANZANIA, NI "STUKA" CHENYE UCHESHI NA ELIMU.
Kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania, kipindi kipya chenye mahadhi ya pranks (kumstua mtu huku ukimrikodi anavyostuka, bila yeye kufahamu), kinaanza mwezi Oktoba. Katika mahojiano maalum na...
View ArticleNEWS ALERT: WAZIRI LUGOLA AAMURU POLISI WATOE DHAMANA SIKU ZOTE ZA WIKI, SAA...
Na Felix Mwagara, MOHA-Kasulu WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amepiga marufuku tabia ya baadhi ya askari Polisi kutoza fedha kwaajili ya huduma ya dhamana kwa watuhumiwa waliopo...
View ArticleASILIMIA 11 YA WATANZANIA KUWA WAZEE IFIKAPO 2050
Na Mwandishi Wetu -ArushaTanzania inakadiliwa itakuwa na wazee 11% ya watu wote nchini ifikapo mwaka 2050, kwa kuwa idadi ya watu inaongezeka kwa kasi kutokana na kuendelea kuboreka kwa huduma za Afya...
View ArticleWAZIRI MKUU ATAKA WACHIMBAJI WADOGO WAENDE BENKI WAKAKOPE MITAJI
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wachimbaji wadogo wa madini waende Benki wakakope mitaji kwa sababu wana uhakika wa kudhaminiwa na Benki Kuu.“Msihofu kukopa, kukopa ni jambo la kawaida sana....
View ArticleSERIKALI YAWAAGIZA WENYEVITI WA VIJIJI KUSIMAMIA WAKANDARASI MIRADI YA UMEME...
Na Veronica Simba – LindiWaziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani amewaagiza Wenyeviti wa Vijiji nchini kote, ambako miradi ya umeme vijijini inatekelezwa, kuwasimamia wakandarasi wanaotekeleza miradi...
View ArticleSerikali kuleta mabadiliko ya kiuchumi kwa wafanyakazi nchini
Na Mwandishi Wetu.Serikali imewahimiza wafanyakazi kote nchini kuchangamkia fursa za kiuchumi ili kujiletea maendeleo na kuchangia katika ujenzi wa Taifa. Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Nchi, Ofisi...
View ArticleSONGAS yatoa rambirambi ya milioni 50 kwa wafiwa kufuatia tukio la ajali la...
Mwenyekiti wa Kamati ya Maafa ambaye pia ni Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mh. Issack Kamwelwe (wa pili kushoto) akipokea mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi za kitanzania milioni 50...
View ArticleDAWASA WAANZA UJENZI WA BOMBA KUBWA LA MAJI BANDARINI
Na Zainab Nyamka,Globu ya JamiiMamlaka ya Maji Safi na Maji Taka (DAWASA) wameendelea kuboresha huduma ya maji sehemu mbalimbali ikiwemo kuongeza maji ya kutosha katika bandari ya Dar es Salaam.Mkakati...
View ArticleTETEMEKO LAUA 832 INDONESIA, VIFO VYAHOFIWA KUONGEZEKA
Na Leandra Gabriel, Globu ya jamiiIDADI ya vifo vilivyosababishwa na tetemeko la ardhi na tsunani nchini Indonesia vimefikia 832 huku vifo vingi zaidi vikihofiwa kuongezeka kadri maeneo...
View ArticleIMANI POTOFU-ZIMBABWE -BAADHI YA WAGONJWA WA UKIMWI WANAAMINI UKISHIRIKI...
Anaandika Dixon Busagaga.IMANI haba na zile za kishirikina zimeendelea kushika kasi kwa nchi za Afrika huku watu wenye ulemavu wa Ngozi “Albino” wakiwa waathirika wakubwa kwa kufanyiwa vitendo vya...
View ArticlePROFESA NDALICHAKO 'AWATUMBUA' WAWILI WIZARANI KWAKE
NA TIGANYA VINCENT,RS TABORA WAZIRI Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako amemwagiza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kuwaondoa kwenye vyeo vyao Mratibu wa Miradi na Kaimu Mkurugenzi wa...
View Article
More Pages to Explore .....