LUGOLA AMELIAGIZA JESHI LA POLISI KIGOMA KUWAKAMATA WAUAJI WA WATU
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola ameliagiza Jeshi la Polisi Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma, kuhakikisha wamewakamata wahusika wa mauaji ya watu wanane yaliotokea mwezi mmoja uliopita...
View ArticleMAKAMU WA RAIS AZINDUA KIKOSI KAZI CHA KUTATUA CHANGAMOTO ZA VIUMBE...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema ni vema kama nchi tukajipanga mapema kuhakikisha kwamba viumbe vamizi hawaendelei kushamiri ili kuepusha Taifa kuingia...
View ArticlePUNGUZO KABAMBE LA BEI YA TIKETI KWA WATAKAONUNUA KUPITIA TIGO PESA...
HUKU nchi nzima ikisubiri kwa hamu kuanza kwa msimu wa Tigo Fiesta 2018- Vibe Kama Lote, mdhamini mkuu Tigo Tanzania pamoja na waandaaji Clouds Media Group wameanza maandalizi rasmi ya tamasha hilo...
View ArticleMISA-TANZANIA YATOA TUZO YA UTOAJI WA TAARIFA KWA WIZARA, MASHIRIKA YA UMMA
Na Agness Francis, Globu ya jamiiTAASISI ya vyombo vya habari kusini mwa Afrika (MISA) imetoa tuzo kwa mashirika mawili hapa nchini wakati wa kuadhimisha siku ya kupata taarifa duniani kwa alieonesha...
View ArticleSPIKA NDUGAI AFUNGA RASMI MKUTANO MKUU WA ALAT JIJINI DODOMA
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza na Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) pamoja na wadhamini wa Mkutano huo, wakati wa kufunga Mkutano Mkuu wa 34 wenye kauli mbiu...
View ArticleMGALU AWASHA UMEME KIJIJI CHA KISANGA
NA MWAMVUA MWINYI, KISARAWE NAIBU Waziri wa Nishati ,Subira Mgalu amelitaka shirika la umeme (Tanesco) lizingatie kufikisha umeme katika taasisi za umma ikiwemo shule na zahanati ili ziondokane na...
View ArticleTISA WAKAMATWA PWANI KWA MAKOSA YA KIUHALIFU -WANKYO
NA MWAMVUA MWINYI, PWANIJESHI la Polisi mkoani Pwani linawashikilia watu Tisa kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya uvunjaji, wizi na vitendo vingine vya kihalifu.Ikumbukwe kwamba, septemba 18...
View ArticleNGOs ZAPEWA SIKU 30 KUWASILISHA TAARIFA ZA MATUMIZI YA FEDHA KWA MSAJILI
Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeyaagiza Mashirika Yasiyo ya Kiserikali nchini kuwasilisha kwa Msajili wa Mashirika hayo taarifa za fedha zilizokaguliwa...
View ArticleRAIS MSTAAFU JK ASHIRIKI MKUTANO WA TOKOMEZA MALARIA DUNIANI
Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete ameshiriki katika mkutano wa Baraza la Kutokomeza Malaria Duniani (End Malaria Council) uliofanyika tarehe 26 Septemba, 2018 mjini New York Marekani.Baraza la...
View ArticleBREAKING NEWS: WAANDISHI WAGOMEWA KUCHUKUA MATUKIO KATIKA UZINDUZI WA FILAMU...
Na Khadija Seif, Globu ya JamiiWaandishi wa habari jioni hii wagomewa kuingia ndani Kwenye hafla ya uzinduzi wa filamu ya D.A.D ya Msanii wa kibongo nchini Wema Sepetu maarufu kama ambayo...
View Article
More Pages to Explore .....