TBL WATEMBELEA KAMBI YA WASANII WA FIESTA DAR
MAOFISA Waandamizi kutoka kampuni ya Tanzania Breweries Lmited (TBL Group),iliyopo chini ya kampuni ya kimataifa inayoongoza kutengeneza vivywaji ya ABInBev, wamefanya ziara ya kutembelea kambi ya...
View Articleuchaguzi wa chama cha Baiskeli Tanzania CHABATA wasuasua
Afisa Habari wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) Najaha Bakari akikumbushia uchukuaji wa fomu za uchaguzi wa chama cha Baiskeli Tanzania CHABATA unaotarajiwa kufanyika tarehe 6 Oktoba, 2018 jijini...
View ArticleTANZIA: GWIJI WA MUZIKI WA REGGAE NCHINI JAH KIMBUTE AFARIKI DUNIA
Na Sultani Kipingo wa Globu ya JamiiHabari zilizotufikia katika chumba chetu cha habari usiku huu zinasema kwamba gwiji wa muziki wa reggae nchini Jah Kimbute (pichani) amefariki dunia nyumbani kwake...
View ArticleMengi akubali kuilea Serengeti Boys
Na Mwandishi WetuMLEZI wa timu ya Taifa ya Vijana wenye umri chini ya miaka 17, ‘Serengeti Boys’, Dk. Reginald Mengi, amesema kuwa kikosi hicho kina kila sababu ya kufanya kweli katika fainali za Kombe...
View ArticleMAGAZETI YA LEO IJUMAA SEPTEMBA 21, 2018
KUPERUZI MAGAZETI ZAIDI BOFYA HAPAKUNUNUA MAGAZETI ONLINE BOFYA HAPA(Ukishafungua bofya gazeti ulipendalo, kisha fuata maelekezo)
View ArticleIDADI YA MIILI ILIYOOPOLEWA YAFIKIA 44, WATU WALIO HAI 37 KATIKA AJALI YA...
Na Said Mwishehe,Globu ya kamiiIMEELEZWA kuwa hadi sasa jumla ya miili ya maiti ya watu 44 imetolewa ndani ya maji ya Ziwa Victoria huku pia watu waliokuwa hai 37 wameokolewa baada ya kutokea ajali ya...
View ArticleRC SHIGELLA AWAONYA WANANCHI WA KIPUMBWI KUHUSU UINGIZWAJI WA DAWA ZA...
MKUU wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella amewaonya wananchi wa Kijiji cha Kwakibuyu kata ya Kipumbwi wilayani Pangani wanaojishughulisha na uingizwaji wa dawa za kulevya ,wahamiaji haramu na biashara za...
View ArticleTADB Board meets African Development Bank Delegation
The Tanzania Agricultural Development Bank’s Board of Directors has met with the delegation from African Development Bank (AFDB), which is in official engagements pertaining to AFDB’s projects...
View ArticleTAMASHA LA TULIA TRADITION DANCES FESTIVAL 2018
MKURUGENZI wa Taasisi ya Tulia Trust na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Akson, akimtunza pesa msanii wa muziki wa kizazi kipya Hip Hop akapela, Meshack Ngemela,...
View ArticleMATUKIO MBALIMBALI YA ZIARA YA WAZIRI MKUU MKOANI DODOMA
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na wananchi wa Kata ya Pahi Wilayani Kondoa, akiwa kwenye ziara ya kikazi Mkoani Dodoma, Septemba 20, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu Kassim...
View ArticleMAANDAMANO YA KUMBUKIZI YA KIFO CHA IMAM HUSSEIN YAFANA
Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salim (wa pili kushoto) akiongoza maandamano ya kumbukizi ya kifo cha Imam Hussein Ally wa dhehebu la kiislamu la Shia, jiini Dar es Salaam juzi...
View ArticleVIKUNDI 19 WALIOPOKEA MSAADA KUTOKA UBALOZI WA MAREKANI WAASWA KUSIMAMIA KIDETE
VIKUNDI 19 vilivyopokea msaada kutoka Mfuko wa Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania vimeshauriwa kusimamia kidete ili fedha zinazotolewa zifanye kazi iliyokusudiwa na si vinginevyo.Hayo yamesemwa na...
View ArticleMAKAMU WA RAIS AKUTANA NA BALOZI WA UINGEREZA NCHINI
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uingereza nchini Mhe. Sarah Cooke.Pamoja na mambo mengine Balozi wa Uingereza...
View ArticleNEWZ ALERT:IDADI YA MIILI ILIYOOPOLEWA YAONGEZEKA KUFIKIA 86, WATU WALIO HAI...
Kwa mujibu wa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza,Mh John Mongella hadi leo saa 4 asubuhi Septemba 21,2018,jumla ya maiti 86 zimeopolewa.Akihojiwa na Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC),Mongella amesema Miili...
View ArticleWAZIRI AZITAKA TAASISI ZA FEDHA, WAENDELEZAJI MILKI BINAFSI KUSHIRIKIANA NA...
NAIBU Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Anastazia Mabula amezitaka taasisi za fedha pamoja na waendelezaji milki binafsi kushirikiana na Serikali ili kutatua changamoto iliyopo ya uhaba wa...
View ArticleWAFANYABIASHARA WATAKIWA KUTUMIA KITUO CHA KIBIASHARA NMB
Na Mwandishi Wetu, MorogoroSERIKALI mkoani Morogoro imewahimiza Wafanyabiashara wakubwa eneo hilo kukitumia Kituo cha Biashara kilichofunguliwa na Benki ya NMB ili kutambua fursa zilizopo katika kituo...
View Article
More Pages to Explore .....