BODI YA KOROSHO YASHAURIWA KUZITUMIA TAASISI ZA KIJESHI ZA JKT MGAMBO NA JKT...
MKUU wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella akizungumza katika mkutano wa wadau wa zao la korosho uliokuwa na lengo la kujadili maendeleo ya Tasnia ya zao la korosho kwa kipindi cha msimu wa miaka mitatu...
View ArticleMWAKILISHI WA PAPA AWATEMBELEA JIMBO KUU LA TABORA
Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri (kushoto) akizungunza na Balozi wa Vatican nchini ambaye ni Mwakilishi wa Papa, Askofu Mkuu Marek Solczynski( wa pili kutoka kushoto) na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu...
View ArticleWananchi wa Mkuranga wanufaika na Kilimo
Na Emmanuel Massaka,Global ya jamiiWILAYA ya Mkuranga ni moja ya wilaya saba zilizopo mkoani pwani wakazi wake wakijishughuisha sana na shughuli za kilimo ilikujipatia kipato.Wilaya ya Mkuranga...
View ArticleMWEZI MMOJA WA KAMPENI YA USAFI MILIONI 346 ZAPATIKANA, MAKONDA ALAANI MGAMBO...
Na Leandra Gabriel, Blogu ya jamiiMKUU wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda ametoa taarifa ya kampeni ya usafi iliyoanza takribani mwezi mmoja uliopita katika kikao kilichohusisha wadau ya afya na...
View ArticleHALMASHAURI YA MKURANGA YARUDISHA ENEO LA DUNDANI
HALIMASHAURI ya Wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani imelirudisha eneo la Dundani ililolichukua kwa madhumuni ya kufanya shughuli za uwekezaji wa viwanda na kulirudisha mikononi mwa wananchi.Eneo...
View ArticleKIDOMOLE FC YAICHAPA VIKAWE FC BAO 1-0
Vikosi vya Timu za Vijiji vya Kidomole pamoja na Vikawe vikiwa katika picha ya pamoja na Mdhamini wao, Tippo Athuman a.k.a Zizzou (kati) kabla ya mtanange wao ulipigwa jana jioni katika uwanja wa...
View ArticleRAIS DKT. MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA DARAJA LA MTO SIBITI...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na viongozi mbalimbali wa Serikali, Mawaziri, Viongozi wa dini na Chama akivuta utepe kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi...
View ArticleMAKAMU WA RAIS AFANYA ZIARA WILAYANI UVINZA MKOANI KIGOMA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo ameendelea na ziara yake ya kukagua na kuhamasisha shughuli za maendeleo mkoani Kigoma ambapo ametembelea Wilaya ya...
View ArticleWATANZANIA WAOMBWA KUSHIRIKI SIKU YA MAZINGIRA SEPT 15, 2018
Na Cathbert Kajuna - Kajunason/MMG.Tanzania itashiriki kwenye Siku ya Usafi Duniani ambayo itafanyika kwa mara ya kwanza Jumamosi tarehe 15 Septemba, 2018. Tukio hili litafanyika chini ya kauli mbiu ya...
View ArticleWATAALAM WA AFYA KUTOKA MAREKANI WATEMBELEA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI...
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Prof. Lawrence Museru (kushoto) akizungumza na mke wa aliyekuwa Balozi wa Marekani Dkt Deborah Stith. Wataalam kutoka vyuo vikuu mbalimbali...
View ArticleBASI LA MWENDOKASI LAPATA AJALI JIJINI DAR ES SALAAM
Wananchi wakiangalia ajali ya basi la mwendo kasi lenye namba za usajili, T 967 DGV iliyohusishwa na ajali ya barabarani na gari dogo lenye namba za usajili T 584 DLA kwenye makutano ya Barabara ya...
View ArticleTaarifa ya hali ya Mfumuko wa Bei nchini kwa mwezi Agosti, 2018
Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Ephraim Kwesigabo akitangaza hali ya Mfumuko wa Bei wa Taifa kwa mwezi Agosti, 2018 leo jijini Dodoma. Baadhi ya...
View ArticleWATU WANNE WAFARIKI DUNIA PAPO HAPO KATIKA AJALI YA GARI LA KUBEBA MBAO ROMBO
Na Dixon Busagaga,Rombo.WATU wanne wakiwemo wawili wa familia moja wamefariki dunia papo hapo baada ya gari walilokuwa wakisafiria aina ya Isuzu kuacha njia na kwenda kugonga ngema katika eneo la...
View ArticleRAIS MAGUFULI ATOA SALAMU ZA POLE KWA MAJERUHI SITA WA AJALI SIMIYU, WAKIWEMO...
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka akikabidhi salamu za pole kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, kwa Mwandishi wa habari wa AZAM TV, Bi Rehema...
View ArticleMikocheni veterans ndani ya michezo ujirani mwema nchini Rwanda
Timu ya Mikocheni veterans itashiriki tamasha maalum ya ujirani mwema lililopangwa kufanyika Kigali, Rwanda kuanzia Septemba 22. Timu hiyo inatarajia kuandoka nchini Septemba 19, ikiwa na wachezaji na...
View ArticleKwa Simu toka London: VItabu Mahiri Vya Kiswahili
Mwandishi nguli wa Kiswahili - Mohammed S Mohammed- aliwahi kupata tuzo mbalimbali na kuzawadiwa na Mwalimu Nyerere (1970) na Kenyatta (1973). Ingawa alichapisha vitabu vitatu tu Mohammed S Mohammed...
View Article
More Pages to Explore .....