CHANGAMOTO YA KUPUNGUA KWA MAJI MTO MARA KUPATIWA UFUMBUZI
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba amewakumbusha watendaji wa Wilaya ya Serengeti wajibu wao wa kipekee wa ulinzi katika hifadhi ya mbuga ya Serengeti...
View ArticleBARABARA YA MASWA-BARIADI KUONGEZA UKUAJI WA UCHUMI KANDA YA ZIWA
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe, akifafanua jambo kwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Anthony Mtaka wakati alipofanya ziara ya ukaguzi wa ujenzi wa barabara ya Maswa-Bariadi...
View ArticleWAZIRI MKUU MAJALIWA AKUTANA NA WAFANYABIASHARA WA CHINA JIJINI BEIJING
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na baadhi ya Wafanyabiashara wa nchini China, wakati akizungumza nao leo jijini Beijing ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Mkutano wa wakuu wa nchi na serikali wa...
View ArticleWANAWAKE NCHINI WAMETAKIWA KUPIGA VITA MFUMO DUME
Profesa Marjorie Mbilinyi akizungumzia simulizi ya hadithi yake Jijini Dar es Salam katika viwanja vya ofisi ya TGNP mtandao jinsi alivyofanikiwa kupambana kupiga vita mfumo dume usimtawale katika...
View ArticleJWTZ laahimisha miaka 54 tangu kuanzishwa kwake
JESHI la Wananchi wa Tanzania JWTZ Leo limeadhimisha miaka 54 tangu kuanzishwa kwake.Maadhimisho hayo yamefanyika jijini Dar es salaam chini ya Mkuu wa Majeshi Generali Venance Mabeyo akiwa na mgeni...
View ArticleK-VANT WAJA NA MUONEKANO MPYA NA LADHA YAKE HALISI YA SIKU ZOTE
Na Mwandishi Wetu.KAMPUNI ya Mega Beverage Company Limited,ya mkoani Arusha, inayotengeneza pombe kali chapa maarufu ya K Vant, imezindua chupa mpya za kinywaji cha K-Vant zenye mwonekano tofauti na...
View ArticleUNLOCK CASTLE LITE YAZIDI KUWAPA RAHA WAKAZI WA JIJI LA DAR
ILE promosheni ya kampuni ya TBL kupitia bia yake ya Castle Lite kwa lengo la kuwapatia burudani inayojulikana kama Unlock Castle Lite inazidi kusambaza furaha kwa wakazi wa jiji la Dar es Salaam...
View ArticleLUGOLA AKERWA MGAMBO KUMPIGA KIKATILI MWANANCHI JIJINI DAR ES SALAAM, ATOA...
Na Felix Mwagara, MOHAWaziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amelaani tukio lililofanywa na Mgambo wa Jiji la Dar es salaam akisema ni la kihuni, kishenzi na kinyama na halipaswi kufumbiwa...
View ArticleJUMLA YA WAHAMIAJI HARAMU 647 WAMEKAMATWA MKOANI PWANI KATIKA KIPINDI CHA...
Na Mwamvua Mwinyi, PwaniIDARA ya Uhamiaji, Mkoani Pwani imesema, jumla ya wahamiaji haramu 647 wamekamatwa kwa kuingia nchini kinyume na sheria, katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita.Aidha idara...
View ArticleVanesa Mdee atumia mitandao ya jamii kushawishi kampuni ya Zola Tanzania...
Na Ibrahim othman Jama, Arusha.Msanii Vanessa Bdee amefanikiwa tumia mitandao ya kijamii katika shughuli zake kuhakikisha kuwa anamtafuta mfadhili wa kusambaza umeme wa solar power kwa shule ya bweni...
View ArticleMADHIMISHO YA MIAKA 54 YA JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA PAMOJA NA MIAKA 42 YA...
Madhimisho ya miaka 54 ya jeshi la wananchi na Miaka 42 ya chuo cha mafunzo ya kijeshi Monduli(TMA) yaliadhimishwa Jumamosi katika uwanja wa Bomani na kuongozwa na Mgeni rasmi Mkuu wa wilaya ya...
View ArticleTaasisi ya The Desk & Chair Foundation yatoa msaada wa madawati 60 na miche...
Mwenyekiti wa The Desk & Chair Sibtain Megjee akizungumza na walimu (hawapo pichani) pamoja na wanafunzi wa Shule ya Msingi Mabatini A iliyopo Wilaya ya Nyamagana kabla ya kuwakabidhi msaada wa...
View ArticleWAITARA - MIMI SIO MSALITI NIMEFUATA MAENDELEO YA JPM
Na Humphrey Shao, Globu ya JamiiMgombe Ubunge wa jimbo la Ukonga kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mwita Waitara amesema yeye sio Msaliti bali amechagua CCM ili aweze kumalizia alipoishia hususani...
View ArticleWAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AZUNGUMZA NA WATANZANIA WAISHIO CHINA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Watanzania waishio nchini China Kwenye ubalozi wa Tanzania uliopo Beijing, Septemba 2, 2018. Pichani kushoto ni Balozi wa Tanzania nchini China,Mh Mbelwa...
View ArticleVodacom yatoa gari la Tisa la M-Pesa jijini Tanga katika sherehe ya kufana
Mkuu wa kanda ya Kaskazini wa Vodacom Tanzania, Brigita Stephen (kushoto) akikabidhi kadi ya gari kwa mkazi wa Tanga Adolf Mlay, huku mkewe Amina Urssa akishuhudia, hafla hiyo ya kusherehekea miaka...
View ArticleGULAMALI AENDELEA KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA NA ELIMU MANONGA
Na Leandra Gabriel, Blogu ya jamiiMBUNGE wa Manonga Mh. Seif Khamis Gulamali ameendelea na ziara yake jimboni humo katika kukagua na kuangalia namna miradi ya maendeleo inavyoendelea kutekelezwa...
View Article
More Pages to Explore .....