WANANCHI WILAYA YA NYASA WASIFU UTENDAJI KAZI WA RAIS MAGUFULI
*Wasema wanamatumaini makubwa dhidi yake,DC azungumzia ujenzi barabara Mbiga hadi NyasaNa David John,NyasaWANANCHI wa Wilaya mpya ya Nyasa wamesema hawaamini kama barabara kutoka Mbinga hadi Nyasa...
View ArticleWATANZANIA WASHAURIWA KUTHAMINI, KUHESHIMU TAARIFA ZA HALI YA HEWA
*Serikali yazindua rasmi Mfumo wa Taifa wa huduma za hali ya hewaNa Said Mwishehe,Globu ya jamiiSERIKALI imesema ipo haja kwa Watanzania wote nchini kuhakikisha wanajenga tabia ya kuheshimu na...
View ArticleSUA WAKABIDHIWA MAJENGO KWA AJILI YA KUANZA KAMPASI MPYA YA TUNDURU MKOANI...
WANANCHI wa Kijiji cha Daraja mbili katika kata ya Namwinyu wilayani Tunduru mkoani Ruvuma wameahidi kutoa ardhi bure kwa ajili yamatumizi ya Chuo cha kilimo (SUA) ikiwa ni kivutio kwa chuo hicho...
View ArticleNAIBU WAZIRI TAMISEMI AFANYA ZIARA TUNDURU,AHAMASISHA WANANCHI KUJIUNGA MFUKO...
NAIBU Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Josephat Kandege amefanya ziara wilayani Tunduru mkoani Ruvuma.Katika ziara hiyo, aliongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Tunduru...
View ArticleNEEC, Ubalozi wa Uholanzi wazindua mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana
Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa La Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Bi, Beng’i Issa wa pili kulia akisisitiza jambo wakati wa uzinduzi wa program ya mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana wenye...
View ArticleWAZIRI MKUU ATUMIA USAFIRI WA BOENG 787-8 DREAM LINER YA. ATCL KUTOKA MWANZA...
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary wakisafiri kwa Ndege ya Boeing 787-8 Dreamliner wakitoka Mwanza kwenda Dar es salaam kupitia KIA, Agosti 22, 2018. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary...
View ArticleJESHI LA POLISI PWANI LIMEKAMATA PULI NA MBEGU ZA BANGI HUKO KISARAWE-RPC SHANNA
NA MWAMVUA MWINYI,KISARAWE .JESHI la polisi mkoani Pwani, linamsaka dereva aliyefahamika kwa jina la Moshi Ramadhan Malinganya mkazi wa Kisarawe kwa tuhuma za kusafirisha bangi puli 193,katika gari...
View ArticleMRADI WA UMWAGILIAJI MWASUBUYA KUWA MRADI WA MFANO
Na Stella Kalinga, SimiyuMkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka amesema Serikali mkoani humo imedhamiria kuutumia Mradi wa Umwagiliaji wa Mwasubuya kubadilisha maisha ya wananchi wilayani Bariadi,...
View ArticleTANZANIA NA UGANDA ZA AZIMIA KUKUZA BIASHARA KATI YAO
Tanzania na Uganda za azimia kukuza biashara kati yaoTanzania na Uganda zimeazimia kuondoa vikwazo vya kibiashara ili kukuza kiwango cha biashara kati yao ambacho kwa takwimu zilizopo sasa zinaonesha...
View ArticleWananchi Waridhia Bwawa La Urughu kutangazwa kama Eneo Lindwa-kimazingira
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba ameendelea na ziara yake ya kikazi katika Wilaya ya Iramba kwa kutembelea bwawa la Urughu na kuwataka wakazi wa eneo...
View ArticleHALMASHAURI YA WILAYA YA KISHAPU YAPONGEZWA KWA KUTEKELEZA VYEMA MIRADI YA...
Na Robert Hokororo, Ofisi ya MkurugenziKiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa mwaka 2018, Charles Kabeho ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu kwa kutekeleza miradi ya maendeleo yenye ubora...
View ArticleDKT. PHILIP MPANGO: KITUO CHA UTAFITI NALIENDELE MKOANI MTWARA KUPEWA FEDHA...
Na Benny Mwaipaja, WFM, MtwaraWAZIRI wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango, ameuahidi uongozi wa Kituo cha Utafiti wa Kilimo Naliendele kwamba Serikali itakiwezesha Kituo hicho na vituo vingine vya...
View ArticleOngala Music Festival kulindima kesho Agosti 23-25,Kigamboni
Na Andrew Chale, DarTamasha kubwa na la aina yake la muziki wa Kiafrika maalum kumuenzi gwiji wa muziki Hayati Dk. Remmy Ongala lililopewa jina la ONGALA MUSIC FESTIVAL, linatarajiwa kulindima kwa mara...
View ArticleDKT SHEIN AONGOZA SWALA YA EID EL HAJJ (MAKUNDUCHI) KUSINI UNGUJA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (wa nne kulia) akijumuika na Viongozi na Waislamu mbali mbali na Mashekhe wa Mkoa wa Kusini Unguja katika swala ya Eid...
View ArticleBARAZA LA EID EL HAJJ KIZIMKAZI MKOA WA KUSINI UNGUJA
Askari wa Kikosi cha Polisi FFU wakitoa salamu ya Hesma kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) alipokuwa akipokea salamu hiyo ya heshma...
View Article
More Pages to Explore .....