KERO ZA ARDHI TABORA ZITATATULIWA NA WAZIRI WA ARDHI - MAJALIWA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi atakwenda katika Halmashauri ya Manispaa ya Tabora ili kutatua kero kubwa za ardhi.Β Ameyasema hayo...
View ArticleWAZIRI LUGOLA AONYA POLISI KUTUMIWA NA MAFISADI KUPORA ARDHI ZA WANANCHI
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia Mbunge wa Jimbo la Mwibara, Kangi Lugola akizungumza katika mkutano wa hadhara na wananchi wa Kijiji cha Ragati, Jimbo la Mwibara, Wilayani ya Bunda, mkoani...
View ArticleMaugo amchapa Mmalawi, Class amnyamazisha Mazola kwa TKO
Bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Mada Maugo wa Tanzania amemchapa kwa pointi, mpinzani wake, Charles Misanjo wa Malawi katika pambano la kimataifa la uzito wa Super Middleweight kwenye ukumbi wa PTA...
View ArticleMAKAMU WA RAIS AONDOKA NAMIBIA KUREJEA TANZANIA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na Waziri wa Elimu ya Juu , Mafunzo na Ubunifu wa Namibia Mhe. Dkt. Itah Kandjii-Murangi muda mfupi kabla ya kupanda...
View ArticleVIONGOZI NA WATUMISHI NCHINI WAKUMBUSHWA KUTEKELZA MAJUKUMU YAO KWA...
Viongozi na Watumishi nchini wamekumbushwa kutanguliza mbele moyo wa uzalendo na masilahi mapana ya taifa wanapotekeleza majukumu yao ili kupeleka maendeleo ya taifa mbele na kuimarisha usalama wa...
View ArticleRAIS DKT. MAGUFULI AHANI MSIBA WA BI. PATRICIA MAZIGO, CHATO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli (katikati) akizungumza na wanakijiji wa Rubambagwe plot (Chato) wakati alipokwenda kutoa pole kwenye msiba wa Patricia Tibengana Mazigo...
View ArticleNaibu Spika Baraza la Wawakilishi Aongoza Ujumbe wa Zanzibar Mkutano wa 49...
Makamu wa Rais wa Botswana Mhe Slumber Tsogwane akipata picha ya pamoja na wajumbe wa Kamati Tendaji na viongozi mashuhuri huko Gaborone Botswana.Β Β Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar...
View ArticleNEWZ ALERT:DADA WA RAIS DKT MAGUFULI AFARIKI DUNIA
Bi.Monica Joseph Magufuli enzi za uhai wake
View ArticleZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM PEMBA LEO
NA IS-HAKA, ZANZIBAR.KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Dk.Bashiru Ally amesema CCM inaendelea kuimarika na hakuna Chama chochote cha kisiasa nchini kinachoweza kushindana nacho katika...
View ArticleSERIKALI YA ZANZIBAR YAKABIDHI FEDHA ZA FIDIA KWA WANANCHI.
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imekabidhi Fedha za fidia kwa Wananchi waliopisha Ujenzi wa Karantini ya Mifugo katika eneo la Nziwengi katika Jimbo la Gando liliomo ndani ya Wilaya ya Wete Mkoa wa...
View ArticleDC JERRY MURO AAHIDI KUSIMAMIA UBORA WA ELIMU ARUMERU, AMSHUKURU RAIS KWA...
Na Ripota Wetu,Globu ya jamiiMKUU wa Wilaya Arumeru mkoani Arusha Jerry Muro amemshukuru Rais Dk.John Magufuli kwa uamuzi wake wa kuendelea kuboresha sekta ya elimu kwa kutoa vitendea kazi kwa lengo la...
View ArticleWATUMISHI WA SERIKALI WAHIMIZWA KUTEMBELEA VIVUTIO VYA UTALII
Β NA LUSUNGU HELELA-DODOMA .Mkurugenzi wa Utawala na Raslimali Watu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Bw. Lusius Mwenda ametoa wito kwa watumishi wa Serikali kuwa mstari wa mbele kutembelea vivutio vya...
View ArticleMCHENGA BBALL STARS AANZA KUTETEA UBINGWA WA SPRITE BBALL KINGS
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.Mabingwa watetezi wa michuano ya Kikapu ya Sprite Bball Kings, Mchenga Bball Stars wamefanikiwa kuondoka na ushindi wa kwanza katika hatua ya fainali, baada ya kushinda...
View ArticleWFP YAADHIMISHA SIKU YA MISAADA KWA KUELEZEA MAFANIKIO NA MAHITAJI
SHIRIKA la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limesema kwamba kutoka mwaka 2010 imeingiza katika uchumi wa Tanzania zaidi ya dola za Marekani milioni 278 kutokana na huduma mbalimbali inazotoa kusaidia...
View ArticleRotary Dar Marathon yaadhimisha miaka kumi ya kubadilisha maisha
Tukio maarufu la riadha la Rotary Dar Marathon ambalo hufanyika siku ya 14 Oktoba β siku ya Nyerere kila mwaka tangu 2009 litaadhimisha mwaka wa kumi tangu kuanza kwa tukio hilo. Dhima ya Rotary Dar...
View ArticleMICHUZI MEDIA GROUP YATOA SALAMU ZA POLE KWA RAIS DKT JOHN POMBE MAGUFULI KWA...
MICHUZI MEDIA GROUP INATOA SALAM ZA POLE KWA FAMILIA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI KUFUATIA KIFO CHA DADA YAKE MPENDWA BI.MONICA JOSEPH MAGUFULI...
View ArticleTAARIFA KWA UMMA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAOFISI YA MAKAMU WA RAISΒ Β Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Ndugu January Makamba (Mb), leo anaanza ziara ya mikoa 19 nchini, ambayo...
View Article
More Pages to Explore .....