JAFO ATOA SOMO KWA WAKUU WA WILAYA WAPYA
Zulfa Mfinanga. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo amewataka Wakuu wapya wa Wilaya walioteuliwa hivi karibuni kuhakikisha wanasoma na kuzielewa...
View ArticleMWENYEKITI WA CCM TAIFA, DKT. JOHN MAGUFULI AENDESHA KIKAO CHA KAMATI KUU YA...
Ndugu John Pombe Joseph Magufuli Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) akiwa katika ukumbi wa mikutano katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba kwa ajili ya kuendesha Kikao cha Kamati Kuu ya...
View ArticleTRA: MSAMAHA WA RIBA NA ADHABU YA MALIMBIKIZO YA KODI KUTOA MOTISHA KWA...
Na Veronica Kazimoto,Dar es SalaamMamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kuwa msamaha wa riba na adhabu wa asilimia 100 kwenye malimbikizo ya madeni ya kodi unaotolewa ndani ya Mwaka wa Fedha 2018/19...
View ArticleUEFA SUPER CUP Jumatano hii kule Hispania mambo ni hivi, mambo ni moto!!
Nani atakuwa bingwa ya Super Cup, kati ya Real Madrid Na Atletico Madrid Jumatano hii? Usikose mechi hii kali ya mabingwa hawa mawili wakiwania ubingwa wa jumla wa Super Cup ndani ya DStv , Ni Jumatano...
View ArticleDkt Kalemani afungua mafunzo ya Wasimamizi wa miradi ya usambazaji umeme...
Wataalam wanaosimamia mradi wa usambazaji umeme vijijini wa Awamu ya Tatu (REA III) wakifuatilia maelekezo yaliyokuwa yakitolewa na Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani (hayupo pichani)wakati...
View ArticleDKT. KIJAJI AAGIZA UCHUNGUZI UFANYIKE MRADI WA UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA...
Benny Mwaipaja, WFM, KigomaNAIBU Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji, ameiagiza Kamati ya Ulinzi na Usalama wilaya ya Kigoma kufanya uchunguzi na kuchukua hatua baada ya kubaini harufu ya...
View ArticleMuuza mitumba akabidhiwa gari na Diamond Platnumz kupitia shindano la 'nogewa...
Msanii nyota wa muziki wa kizazi kipya nchini (Bongofleva) na Mkurugenzi wa WCB Nassib Abdull almaarufu Diamond Plutnum akimkabidhi ufunguo wa gari mshindi wa shindano la 'Nogewa Ushinde' ,Mkazi wa...
View ArticleTaasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kushirikiana na Ubalozi wa Marekani...
Mkurugenzi wa Magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akielezea maendeleo ya ukarabati wa jengo la watoto kwa Naibu Balozi wa Marekani nchini Mhe. Dkt. Inmi...
View ArticleMKUU MPYA WA WILAYA YA HAI AZUNGUMZA KWA MARA YA KWANZA NA WATUMISHI WA...
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii ,Kanda ya Kaskazini.MKUU mpya wa wilaya ya Hai,Lengai Ole Sabaya amekemea vikali vitendo vya Rushwa vinavyofanywa na baadhi ya watumishi wa halmashauri ya wilaya...
View ArticleSerikali kudhibiti Uhalifu Ukanda wa Ziwa na Bahari
Na Mwandishi WetuSerikali imejipanga kuimarisha Ulinzi na Usalama katika Ukanda wa Ziwa na Bahari kote nchini ili kuweza kudhibiti uhalifu unaotekelezwa majini ikiwepo uvuvi haramu, usafirishaji wa...
View ArticleMHANDISI NDIKILO AWAAHIDI UMEME WA REA AWAMU YA TATU KUWAFIKIA WANANCHI WOTE...
Na Zainab Nyamka, Globu ya JamiiMkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandis Evarist Ndikilo amewaahidi wananchi wa Kijiji cha Matimbwa kata ya Yombo kuwa awamu ya tatu ya Mradi wa Umeme wa vijijini REA utawafikia...
View ArticleKAMATI YA VIWANDA, BIASHARA, MAZINGIRA YA BUNGE LA TANZANIA KUFANYIA KAZI...
MPANGO wa uwekaji muhuri wa Kiectroniki ya kodi (Electronic tax stamp(ETS) kuongeza ukusanyaji wa mapato ya serikali kwa watengenezaji wa pombe kali kwani waingizaji wa pombe kali wa kinyemela...
View ArticleDC MJEMA AAGIZA TAKUKURU KUCHUNGUZA FEDHA ZA MRADI URASIMISHAJI ARDHI...
Na Humphrey Shao, Globu ya JamiiMKUU wa Wilaya Ilala, Sophia Mjema, ameagiza Taasisi ya Kuzuia ya Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), kuchunguza kamati ya mradi wa ulasimishaji ardhi katika Kata ya...
View ArticleUSHIRIKIANO SEKTA YA UMMA NA SEKTA BINAFSI KUIBUA MIRADI YA KIMKAKATI KUKUZA...
Na Mwandishi Maalum, Tanga Serikali imezitaka Wizara na Taasisi za Umma kuhakikisha zinawajibika kikamilifu kufuata hatua zote muhimu za utekelezaji wa miradi ya Ubia kati ya Serikali na Sekta Binafsi...
View ArticleAFRIKA KUSINI YAONESHA UTAYARI KUWA NA USHIRIKIANO SEKTA YA MADINI
Na Asteria Muhozya, DodomaWaziri wa Madini Angellah Kairuki jana tarehe13 Agosti alikutana na Balozi wa Afrika Kusini nchini Tanzania, Mheshimiwa Thami Mseleku. Katika mkutano huo, Balozi huyo...
View ArticleDKT. KIJAJI AAGIZA DEREVA ALIYEHAMISHWA KITUO CHA AFYA BITALE KIGOMA...
Na Benny Mwaipaja, WFM, Kigoma.NAIBU Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji, amemwagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmahauri ya Wilaya ya Kigoma kumrejesha mara moja katika kituo chake cha kazi...
View ArticleLUGOLA ATOA ONYO KALI KWA TRAFIKI WAOMBA RUSHWA, WANAONYANYASA WAENDESHA...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia Mbunge wa Jimbo la Mwibara, Kangi Lugola akizungumza katika mkutano wa hadhara na wananchi wa Kijiji cha Igundu, Jimboni kwake Mwibara, Wilaya ya Bunda,...
View Article
More Pages to Explore .....