MAJALIWA ATEMBELEA SHAMBA LA FAMILLIA YA RIWA MKOANI KIGOMA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua shamba la kahawa bora iliyopandwa na Familia ya Bibi Victoria Riwa (watano kulia) katika kijiji cha Nyarubanda mkoani Kigoma Julai 30, 2018. Wapili kulia ni...
View ArticleWAZIRI MKUU AWASIMAMISHA KAZI WATUMISHI WATATU HOSPITALI YA KASULU MJI KWA...
Na Rhoda Ezekiel Kigoma,WAZIRI mkuu Kasimu Majaliwa amewasimamisha kazi watumishi watatu wa Hospitali ya Wilaya ya Kasulu mji ambao wanatuhumiwa kuiba dawa na kwenda kuuza katika maduka ya mjini.Aidha,...
View ArticleMADIWANI CHADEMA.CUF WAFIKISHWA MAHAKAMA WILAYA YA ILALA KWA TUHUMA ZA...
Madiwani wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na mmoja wa Chama cha Wananchi CUF, wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, wakikabiliwa na mashtaka mawali likiwamo la...
View ArticleMAKAMU WA RAIS AHITIMISHA ZIARA YAKE MKOANI MBEYA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wakazi wa Chunya kwenye uwanja wa Sabasaba ikiwa ni siku ya kuhitimisha ziara yake mkoani Mbeya. Makamu wa Rais...
View ArticleATCL YADAIWA KUKIUKA TARATIBU ZA SHERIA YA MANUNUZI-NAIBU GAVANA BANK KUU.
NAIBU Gavana wa Benki Kuu Tanzania (BOT), Yamungu Kagandabila (47), ameieleza mahakamani ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) ilisaini mkataba wa kukodisha ndege kabla haijapata...
View ArticleIGP AKUTANA NA VIONGOZI RSA
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akipokea fulana yenye ujumbe wa kuhamasisha juhudi za usalama barabarani kutoka kwa Mwenyekiti wa Mabalozi wa Usalama barabarani (RSA) Bw. John Seka...
View ArticleGAZETI LA MWANAHALISI LATOKEA MAHAKAMANI
Na Humphrey Shao , Globu ya JamiiMahakama Kuu kanda ya Dar es Salaam imelifungulia gazeti la Mwanahalisi ambalo lilifungiwa na Serikali kutokana na kile kilichodaiwa kuchapisha habari ambazo zipo...
View ArticleWAZIRI MBARAWA APIGA MARUFUKU USAMBAZAJI WA MAJI KWENYE MELI KWA KUTUMIA MAGARI
Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Profesa Makame Mbarawa akiongea mara baada ya kumaliza kufanya uzinduzi na ukaguzi wa mfumo wa mita za malipo ya kabla (Pre Paid meter). Pembeni ni Afisa Mtendaji Mkuu...
View ArticleTANZANIA BADO BORA KWA UKAGUZI WA MAHESABU BARANI AFRIKA
Na Humphrey Shao Globu ya JamiiMdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali (CAG) Prof. Mussa Assad, amesema Tanzania ni moja ya nchi zinazofanya vizuri katika bara la Afrika na kushika nafasi ya...
View ArticleRAIS DKT. MAGUFULI AKABIDHI HATI ZA VIWANJA VYA DODOMA KWA MABALOZI WA NCHI...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na Mabalozi wa nchi mbalimbali na wawakilishi wa Mashirika ya Kimataifa baada ya kuwakabidhi bila malipo hati za viwanja vya...
View ArticleBALOZI MPYA WA KENYA NCHINI MHE. DAN KAZUNGU AKABIDHI HATI ZA UTAMBULISHO WA...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati za utambulisho kutoka kwa Balozi mteule wa Kenya hapa nchini Dan Kazungu Ikulu jijini Dar es Salaam leo Julai 30, 2018...
View ArticleDk. Kalemani azindua umeme usiku vijijini
WAZIRI wa Nishati, Dk. Medard Kalemani, ameendelea na ziara yake vijijini y kukagua miradi ya umeme REA III inayoendelea huku akilazimika kuzindua umeme usiku. Amesema amelazimika kufanya uzinduzi huo...
View ArticleMIPANGO YA MATUMZI YA ARDHI KUNUSURU MISITU NCHINI
Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi (NLUPC) kwa kushirikiana na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) inatarajia kuandaa mipango ya matumizi ya ardhi katika vijiji 120 vinavyozunguka...
View ArticleRC MNYETI KUZINDUA MICHUANO YA CHEMCHEM CUP AGOST 19 MDORII BABATI
Na Ripota wetu, ManyaraJumla ya timu 20, zinatarajiwa kushiriki ligi ya Chem Chem CUP, wilayani Babati mkoa wa Manyara ambapo zawadi zenye thamani ya sh 4.5 milioni zitatolewa.Akizungumza na waandishi...
View Article
More Pages to Explore .....