MAKAMU WA RAIS AFANYA MKUTANO WA HADHARA MBEYA MJINI
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wakazi wa Mbeya mjini kwenye viwanja vya Ruandanzovwe, Makamu wa Rais yupo mkoani Mbeya kwenye ziara ya...
View Article“SASA TUTAFIKA KONA KWA KONA” WARATIBU ELIMU NJOMBE MJI.
Hyasinta Kissima- Afisa Habari Halmashauri ya Mji NjombeHalmashauri ya Mji Njombe imepokea jumla ya pikipiki 13 zenye thamani ya shilingi milioni 39 kwa waratibu elimu Kata 13 lengo ikiwa ni kufanya...
View ArticleGOFU LUGALO YAWASILI NA KUANZA VYEMA MUFINDI OPEN
Na Luteni Selemani SemunyuWachezaji wa klabu Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania ya Lugalo imewasili salama Mufindi Mkoani Iringa kwa ajili ya kushiriki mashindano ya wazi ya mufindi ya utalii...
View ArticleTAGCO NA IDARA YA HABARI MAELEZO ZAPONGEZWA KWA UTENDAJI
Frank Mvungi- MAELEZO, TunduruChama cha Maafisa Habari na Mawasiliano Serikalini (TAGCO) na Idara ya Habari (MAELEZO) vimepongezwa kwa kubuni na kuweka utaratibu wa kufuatilia utendaji wa Maafisa...
View ArticleDK. HERY MWANDOLELA WA HEAMEDA MEDICAL CLINIC AZUNGUMZIA UMUHIMU WA KUPIMA AFYA
*Afurahishwa na idadi kubwa ya wananchi wanavyojitokeza kupima afya bure*Ataja kiini cha kuongezeka kwa kasi magonjwa yasiyo ya kuambukiza nchini Na Said Mwishehe, Glob ya Jamii. DAKTARI Bingwa wa...
View ArticleDK.SHEIN AAGANA NA BALOZI WA MALAWI NCHINI.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akisalimiana na mgeni wake Balozi wa Jamhuri ya Malawi katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bibi.Hawa Olga Ndilowe...
View ArticlePROF MBARAWA AKAGUA MRADI WA MAJI WA MTO RUFIJI
Na Zainab Nyamka, Globu ya JamiiWAZIRI wa Maji na Umwagiliaji Prof Makame Mbarawa ametembelea mradi mkubwa maji wa bwawa katika Mto Rufiji utakaoweza kusaidia matumizi ya maji kwenye kambi ya ujenzi wa...
View ArticleSERIKALI YAONDOA RIBA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WALEMAVU
Na WAMJW CHATO - GEITASerikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imetangaza rasmi kuwa hakutakuwa na riba katika mikopo itakayotolewa kwa wanawake, vijana na walemavu...
View ArticleBREAKING NYUZZZZZ......: MBUNGE WA CHADEMA UKONGA ATANGAZA KUJIUNGA CCM LEO
Na Said Mwishehe,Globu ya jamiiMBUNGE wa Jimbo la Ukonga jijini Dar es Salaam Mwita Waitara kupitia Chadema ametangaza rasmi kujiunga na Chama Cha Mapinduzi(CCM).Ametangaza uamuzi huo leo katika ofisi...
View ArticleWANACHUO KUTOKA SOKOINE NA MUHIMBILI WATEMBELEA MAMLAKA YA MAABARA YA MKEMIA...
Mtumishi wa Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali, Bw. Boniface Majinyali (kulia) akiwaonyesha kwa vitendo namna uchunguzi wa sumu unavyofanyika kwenye maabara baada ya wanachuo hao...
View ArticleMuleba kuunganishwa umeme gridi ya Taifa
SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco), lipo mbioni kuiunganisha Wilaya ya Muleba Mkoani Kagera na umeme wa gridi ya Taifa ili kuvutia wawekezaji hasa wa sekta ya viwanda nchini. Akizungumza leo wakati wa...
View ArticleTUPAMBANENI NA UDANGANYIFU WA HUDUMA- MKURUGENZI MKUU
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Bw. Bernard Konga akielezea mwelekeo wa utoaji huduma kwa wanachama wa Mfuko wakati alipokutana na Watoa huduma wa Mkoa wa Kinondoni leo. Baadhi ya...
View ArticleSERIKALI YATOA SIKU 30 KWA MADIWANI WA KIGOMA UJIJI
Yasema wasipojirekebisha italivunja baraza laoWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa siku 30 kwa Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji kujirekebisha na kumaliza tofauti zao ndani ya siku 30...
View ArticleCCM WAZINDUA KAMPENI ZA UDIWANI ARUSHA
Na Ahmed Mahmoud ArushaChama cha mapinduzi kimesema kuwa kipo kwa ajili ya kuwatumikia na kusikiliza shida za wananchi na wamejipanga kuhakikisha wanaisimamia serikali ipasavyo ili ilani ya chama hicho...
View ArticleWAZIRI MKUU AZINDUA KAMPENI YA KUFUFUA ZAO LA MICHIKICHI
*Lengo ni kumaliza tatizo la upatikanaji wa mafuta ya kula nchiniWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amezindua kampeni ya kufufua zao la michikichi mkoani Kigoma na kuagiza kuanzishwa kwa kituo cha utafiti wa...
View ArticleMuhimbili Yaendelea Kupata Mafanikio, Watoto 24 Wafanyiwa Upasuaji
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) inaendelea kupata mafanikio makubwa kutokana na kuboresha huduma za upasuaji wa watoto, huku ndani ya siku mbili watoto 24 wakiwa wamefanyiwa upasuaji.Wataalamu wa...
View ArticleKAMISHNA JENERALI KASIKE AFANYA ZIARA YA KWANZA MKOANI MOROGORO
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Phaustine Kasike amehitimisha ziara yake fupi mkoani Morogoro kwa kuongea na baadhi ya maafisa, askari na watumishi raia wa Ofisi ya Mkuu wa Magereza wa Mkoa wa...
View ArticleMKURABITA Yakabidhi Hati Miliki 661 za Ardhi Wilayani Ikungi
Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (MKURABITA), NBalozi Daniel Ole Njolay akikabidhi a Hati za Hakimiliki za Kimila wakati wa hafla ya...
View ArticleRC MNYETI AWAPA ONYO WANAOFUNGIA VIWANDA OVYO
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Alexander Mnyeti amesema hatakubali kuona maamuzi mabovu yanatolewa kwenye mkoa wake ikiwemo kufungia kiwanda bila sababu ya msingi.Mnyeti ameyasema hayo mjini Babati kwenye...
View ArticleMAKAMU WA RAIS AKAGUA MELI KATIKA BANDARI YA KIWIRA NA ITUNGI KYELA MBEYA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Viongozi wa mkoa wa Mbeya pamoja na Wafanyakazi na Wataalam kutoka kampuni ya Songoro Marine...
View Article
More Pages to Explore .....