MABONDIA KUONESHANA UMWAMBA MEI 5, 2018 IDD MKWERA NA RAMADHANI SHAURI...
Bondia Idd Mkwera baada ya kupoteza mpambano wake wa nje uliofanyika Riga Ratvia kwa point bondia huyo sasa amesaini mkataba wa kuzipiga na bondia machachari Ramadhani Shauri mpambano wa raundi 10...
View ArticleSekta binafsi Zanzibar yajadili mikakati madhubuti ya kufanikisha wiki ya...
Waziri Wa Viwanda, Biashara na Masoko wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Balozi Amina Salum akizungumza katika ufunguzi wa mkutano na Wafanyabishara wa Zanzibar uliofanyika katika Ofisi za Wizara...
View ArticleWAHAMIAJI HARAMU TISA RAIA WA ETHIOPIA NA MTANZANIA MMOJA WALIVYODAKWA NA...
Na John Nditi, MorogoroPOLISI Mkoani Morogoro inawashikilia wahamiaji haramu tisa ambao ni wa Ethiopia na Mtanzania mmoja ambaye ni dereva aliyekuwa anawasafirisha kwa gari lenye namba za usajili T...
View ArticleHALMASHAURI KIGAMBONI KUFUNGUA KIDATO CHA TANO,SITA JULAI MWAKA HUU
Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni inatarajia kufungua kidato cha tano na sita Julai mwaka huu katika Shule ya Sekondari Nguva kwa kuwa na wanafunzi 160 wa kiume pekee ikiwa na michepuo ya...
View ArticleWAZIRI JENISTA MHAGAMA AFUNGUA MKUTANO WA WADAU KUJADILI UTEKELEZAJI WA...
NA K-VIS BLOG/KHALFAN SAID, DODOMASERIKALI ilianzisha Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi kwa lengo la kuhakikisha kuwa wafanyakazi wanapata mafao bora na stahiki ya fidia tofauti na sheria ya zamani...
View ArticleWATAFITI WA KODI AFRIKA WAJENGEWA UWEZO
Watafiti wa Kodi Barani Afrika wameshauriwa kuimarisha mtandao wao ili kuweza kusaidiana kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili katika jitihada zao za kufanya utafiti.Ushauri huo umetolewa na...
View ArticleKATIBU MKUU TARISHI ATETA NA KIKOSI KAZI CHA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI CHA...
Na. Mwandishi MaalumTume ya Taifa ya Uchaguzi ambayo ni Taasisi mojawapo iliyopo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, (Waziri Mkuu na Bunge), Maimuna Tarishi amekutana na...
View ArticleWASHINDI WA NYAKANYAKA BONUS KILIMANJARO WAKABIDHIWA ZAWADI ZAO
Mkurugenzi wa kampuni ya mawasiliano ya simu za mkononi ya Tigo Tanzania - Kanda ya Kaskazini, Nancy Bagaka (kushoto) akimkabidhi Rahma Msangi (kulia) zawadi ya simu janja aina ya Tecno R6 baada ya...
View ArticleKATIBU MKUU TARISHI ATETA NA KIKOSI KAZI CHA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI CHA...
Tume ya Taifa ya Uchaguzi ambayo ni Taasisi mojawapo iliyopo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, (Waziri Mkuu na Bunge), Maimuna Tarishi amekutana na Kikosi Kazi cha Tume...
View ArticleJESHI LA POLISI LAKAMATA SILAHA,WATUHUMIWA WA UHALIFU 368
Na Jeshi la Polisi.Jeshi la Polisi nchini limefanikiwa kukamata Silaha mbalimbali na watuhumiwa 368 katika Oparesheni Maalum inayoendelea katika Ukanda wa Kusini unaojumuisha mikoa ya Lindi, Mtwara na...
View ArticleBONDIA MKWERE ASAINI MKATABA WA KUZICHAPA NA SHAURI
BONDIA Idd Mkwera amesaini mkataba wa kuzipiga na bondia machachari Ramadhani Shauri katika mpambano wa raundi 10 utakaofanyika Mei 5 mwaka huu Uwanja wa Ndani wa Taifa.Mkwera amesaini mkataba huo...
View ArticleWANANCHI WATAKIWA KUJIUNGA NA MIFUKO YA AFYA JAMII ILI KUKWEPA GHARAMA ZA...
RS TABORA SERIKALI imezitaka jamii kujiunga na mifuko ya huduma za bima za jamii ili waweze kupata huduma ya tiba kwa gharama nafuu badala ya kutumia mtindo wa kulipa fedha taslimu wanapokwenda...
View ArticleMTOTO WA MKULIMA WAZIRI MKUU MSTAAFU PINDA ATAJA MUAROBAINI WA KUZUIA...
NA K-VIS BLOG/KHALFAN SAID, DODOMAWAKATI kuna wimbi la uchomaji misitu ovyo hapa nchini, “Mtoto wa Mkulima, Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Mizengo Pinda ametoa “dawa” ya kuzuia uharibifu huo wa maliasili na...
View ArticleBalozi Luvanda awasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Sri Lanka
Balozi wa Tanzania nchini India, Mhe. Baraka Luvanda aliwasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kisoshalisti ya Sri Lanka, Mheshimiwa Maithripala SIRISENA.Hii ni hatua...
View ArticleNaibu Waziri akutana na kufanya mazungumzo na Spika EALA
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Susan Kolimba na Spika wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) Mhe. Martin Ngoga wakisalimiana walipokutana kwa...
View ArticleKATIBU MKUU SIHABA NKINGA AFUNGUA KIKO CHA WAFANYAKAZI IDARA KUU MAENDELEO YA...
Katibu Mkuu Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii Bibi. Sihaba Nkinga akizungumza na watumishi wa Idara Kuu anayoiongoza katika Kikao cha wafanyakazi kilichofanyika katika Chuo Kikuu cha Dodoma kilicholenga...
View Article
More Pages to Explore .....