LUKUVI AELEZA MABORESHO YALIYOFANYIKA KATIKA SEKTA YA ARDHI
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya kazi, Mhe. William Lukuvi ametaja maboresho kadhaa yaliyofanyika katika Wizara ya Ardhi.Mhe. Lukuvi aliyasema hayo alipokutana na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi...
View ArticleRAIS MAGUFULI ATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA FAMILIA YA DK.KABURU
Aliyekuwa mbunge wa kigoma mjini, mbunge wa bunge la Africa Mashariki na Mwenyekiti mstaafu wa CCM mkoa wa Kigoma, Dr Amani Walid Kabourou enzi za uhai wake
View ArticleWAZIRI MWIJAGE AFANYA ZIARA KIBAHA
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhe. Charles Mwijage jana tarehe 6 Machi, 2018 amekabidhi eneo lenye ukubwa wa hekari 200 kwa mkandarasi SUMA JKT ambaye atakuwa na kazi ya kufanya leveling...
View ArticleBARAZA LA MADIWANI KINONDONI LAPITISHA BAJETI YA MWAKA 2018/2019
Na Emmanuel Masaka, Globu ya JamiiBARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam kupitia mkutano wake maalum limepitisha makadirio ya mapato na matumizi ya kawaida na...
View ArticleMWILI WA DK. AMANI KABURU KUSAFIRISHWA KESHO KIGOMA
Na Zainab Nyamka,Globu ya JamiiMWILI wa aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Mjini, Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki na Mwenyekiti mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM), Mkoa wa Kigoma Dk.Amani Walid...
View ArticleUHIFADHI WA KUMBUKUMBU YA HISTORIA YA URITHI WA UKOMBOZI WA BARA LA AFRIKA...
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kulia) akizungumza na Balozi wa Shirikisho la Urusi nchini Tanzania, Mhe. Yuri Popou (kushoto) alipotembelea katika ofisi...
View ArticleKAMPUNI YAMPA BAISKELI MWANAFUNZI WA DARASA LA SABA ILI ATIMIZE NDOTO YAKE
Na Mwandishi wetuKAMPUNI ya D&G Export Company Ltd inayojishughulisha na ununuzi wa mazao na utunzaji wa korosho wilayani Tunduru na Liwale imeamua kumsaidia baiskeli ya magurudumu matatu...
View ArticleUWT YAWAGEUKIA WADAIWA SUGU BENKI YA WANAWAKE
*Yataka waliokopa warejeshe mkopo haraka, wakishindwa wachukuliwe hatuaNa Said Mwishehe, Globu ya JamiiMWENYEKITI wa Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT)kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM), Gaudentia Kabaka...
View ArticleBARCLAYS LAUNCHES A NEW AFRICA MARKETS INDEX IN THE CONTINENT
A survey of the stock markets of 17 African countries by Barclays Africa Group has rated Tanzania’s financial markets 11th overall with a score of 44% in the continent ahead of the likes Morocco (42...
View ArticlePROF. MBARAWA AWATAKA WATENDAJI KUTUMIA HEKIMA KUONGOZA
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa , akikata utepe kuzindua rasmi taarifa ya Klaimatolojia ya mwaka 2017, wakati alipofungua baraza la Wafanyakazi wa Mamlaka ya Hali ya...
View ArticleCHUO CHA UTUMISHI WA UMMA TANZANIA (TPSC) KUWAJENGEA UWEZO WATUMISHI WA UMMA...
Wataalamu waandamizi kutoka Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC), wapo nchini Somalia kwa ajili ya kazi ya kuandaa mafunzo ya kuboresha utumishi wa umma katika Jimbo la Puntland nchini Somalia....
View ArticleWafanyakazi TBL walivyoshiriki Kilimanjaro Marathon 2018
Wafanyakazi TBL walivyoshiriki Kilimanjaro Marathon 2018Idadi kubwa ya wafanyakazi kutoka kampuni ya TBL Group wameshiriki mbio za Kili Marathon zilizofanyika mkoani Kilimanjaro.Mashindano haya maarufu...
View ArticleTWB yadai mikopo sugu yenye thamani ya Tsh.bilioni 7.9 toka kwa wateja 7,065
Benki ya Wanawake Tanzania (TWB) katika hatua zake za kutaka kuimarisha mtaji wake na kufanya kazi zake kwa ufanisi imewataka wateja wake 7,065 wenye mikopo sugu yenye thamani Tsh. bilioni 7.9, kulipa...
View ArticleMadini ni mali ya Watanzania sio wawekezaji wa kigeni: Biteko
Na Mathias Canal, GeitaSerikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt John Pombe Magufuli tangu ianze utendaji wake imejipambanua wazi kuwa rasilimali zote...
View ArticleRAIA WA ZAMBIA, WENZAKE KORTINI KWA KWA TUHUMA ZA UTAKATISHAJI FEDHA
Na Karama Kenyunko, Blogu ya JamiiRAIA wa Zambia na wenzake sita wamepandishwa katika kizimba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na tuhuma za kula njama, wizi na utakatishaji wa...
View ArticleKUYEKO AWAONYA WENYEVITI KUTOCHUKUA FEDHA ZA WANANCHI WANAOHITAJI HUDUMA
Na Humphrey Shao, Globu ya JamiiMEYA wa Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam, Charles Kuyeko amewataka wenyeviti wa Serikali za mitaa wilayani humo kuacha kuwatoza fedha wananchi wanaofika katika...
View ArticleAZAM FC, MWADUI HAPATOSHI KESHO CHAMAZI
Na Agness Francis, Globu ya JamiiKLABU Bingwa Afrika Mashariki na kati AzamFC inatarajia kuwakaribisha wachimba madini wa Shinyanga Mwadui FC katika michuano inayoendelea ya kuwania ubingwa wa Ligi Kuu...
View ArticleMWENYEKITI UVCCM PWANI ATOA NENO KWA VIJANA
Na Elisa Shunda, KibitiMWENYEKITI wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Pwani (UVCCM),Charangwa Makwiro amewataka vijana wa mkoa huo kutojihusisha na mambo ambayo hayana tija kwa...
View Article
More Pages to Explore .....