Barabara ya Morogoro -Iringa imekuwa tegemezi kwa wasafirishaji hasa wanaosafirisha mizigo kwa kutumia magari makubwa kwenda nchi za jirani za Zambia na Malawi ikitokea Bandari ya Dar es Salaam.Kwa sasa ni kiunganishi kikubwa cha nchi hizo. Picha na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii.