Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117075

TAIFA STARS YAICHAPA TIMU YA CAMEROON bao 1-0

$
0
0
 Kikosi cha timu ya Tanzania.
 Wachezaji wa Taifa Stars wakisalimiana na wenzao wa Cameroon.
 Kikosi cha timu ya Cameroon kikiwa katika picha ya pamoja.
 Beki wa timu ya taifa ya Tanzania, Erasto Nyoni akijaribu kumzuia kiungo wa pembeni wa Cameroon, Bedimo Henri wakati wa mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika kwenye Uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam leo.
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Tanzania, Mbwana Samata akimtoka beki wa kushoto wa timu ya Cameroon, Benoitte Assou-Ekotto  wakati wa mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika kwenye Uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam. Tanzania imeshinda 1-0.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 117075

Trending Articles