Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117044

Changamoto za uendeshaji wa meli MV. Victoria ziwa Victoria

$
0
0
Ankal, Wawekee wadau waweze kuiona meli hii ambayo ni Mojawapo ya meli kongwe hapa nchini,Hii ni Meli ya MV. Victoria inayosafiri kati ya jiji la Mwanza na mji wa Bukoba, MV. Victoria ambayo ilianzarasmi kufanya kazi mwaka 1962 na bado inadunda mpaka leo pamoja na changamoto nyingi, tuangalie video ya hali halisi ya uendeshaji wake.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 117044

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>