Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117989

Taswira katika msiba wa mke wa katibu Mkuu wa Temeke Jogging club

Juma lililopita limekuwa ni la huzuni kwa wanabiafra na tasnia ya mchezo wa mbio za pole pole (jogging) mkoa wa Dar es Salaam kwa ujumla. mwanzo mwa juma tulipokea taarifa ya msiba wa mke wa katibu Mkuu wa Temeke Jogging (Rasmi) ndugu Togocho ambapo mazishi yalifanyika maeneo ya kurasini Mivinjeni. Vilabu kadhaa vya jogging viliendelea kuonesha umoja kwa kushiriki kwenye msiba huo na mingine.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Biafra Henry Maseko (mwenye shati jeupe) akitoa nasaha kwenye msiba wa mke wa ndugu Togocho

Siku ya Jumatano wanachama wa Biafra kundi la watoto Mtoro Elvis na kaka yake Jimmy Elvis (pichani chini)  nao walifiwa ni bibi yao mlezi ambapo mazishi yalifanyika huko Mlandizi mkoa wa Pwani. 

Viewing all articles
Browse latest Browse all 117989

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>