Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Hifadhi Hati wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Thomas William akionyesha Tuzo ya Ushindi wa Ubunifu iliyoshinda NIDA katika maonyesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma Afrika yaliyofikia kilele chake tarehe 23 Juni, 2013, Accra Ghana.