SIMU.TV: Ripoti ya Tanzania ya hali ya haki ya mwaka 2016 inaonsha kuwa haki ya kuishi kwa watanzania imeendelea kuwa mashakani kutokana na uwepo wa adhabu ya kifo na mauji ya kishirikina. https://youtu.be/B9gjumjVeWQ
SIMU.TV: Wanahabari nchini wametakiwa kuwa wajasiri na kutekeleza majukumu yao bila woga kwa maana woga unazorotesha uhuru wa utoaji wa habari. https://youtu.be/g8v6JImFd2Y
SIMU.TV: Wakulima na wafugaji kutoka vijiji 32 vilivyopo wilayani Mbarali mkoani Mbeya wameiomba serikali kubatilisha mpango wake wa kuvifanya vijiji hivyo kuwa sehemu ya hifadhi ya Ruaha. https://youtu.be/XrSbVuIklyo
SIMU.TV: Kampuni ya Tanzanite One imeamua kujenga kituo cha afya cha kisasa katika mji mdogo wa Mererani ili kusogeza huduma za afya karibu na jamii inayozunguka mgodi huo. https://youtu.be/6vWMz5ViYCc
SIMU.TV: Madereva wa bodaboda jijini Dar es Salaam wametajwa kuwa waathirika wakubwa wa rushwa ya barabarani wanapokuwa katika majukumu yao. https://youtu.be/xcA54fdtO94
SIMU.TV: Wafanyabiashara wadogo na wakubwa wa madini nchini wametakiwa kuchangamkia fursa ya maonesho ya madini jijini Arusha ili kuitangaza Tanzania. https://youtu.be/JSBC9P7nYSM
SIMU.TV: Uongozi wa klabu ya Simba umesema kuwa utakata rufaa FIFA kutokana na kupokwa pointi tatu za walizopewa na kamati ya saa 72 ya TFF. https://youtu.be/6Le08phW5mI
SIMU.TV: Rais wa klabu ya Simba Evance Aveva amesema mchezo wao wa fainali za FA dhidi ya Mbao Fc utakua mchezo mgumu kutokana na ukubwa wa mashindano yenyewe. https://youtu.be/5Atb7wgSNCE
SIMU.TV: Klabu ya Atletico Madrid jana ilishindwa kutamba mbele ya Real Madrid baada ya kukubali kichapo cha mabao matatu kwa bila kwenye mchezo wao wa nusu fainali za klabu bingwa Ulaya. https://youtu.be/dR4FlS9CUK8