Marehemu Ibrahim Werrema John.
Ni miaka 4 sasa toka ndugu yetu kipenzi Ibrahim Werrema John ututoke, unakumbukwa sana na mke wako kipenzi, Bi. Agatha, wazazi wako Mr. & Mrs John Keraryo, dada na kaka zako, baba mkwe mzee Soka, ndugu jamaa na marafiki. Kimwili hauko nasi lakini busara na upendo uliokua nao kwetu bado vinaishi nasi. Mapenzi ya bwana na yatimie.
AMEN