Timu ya Maji Maji ya Songea (WANALIZOMBE) wameshindwa kuutumia uwanja wake wa nyumbani baada ya kufungwa bao moja na YANGA katika mchezo uliochezwa uwanja wa MAJI MAJI mjini SONGEA mkoani RUVUMA, Hapa tumekusogezea goli la YANGA pamoja na mahojiano na makocha wa timu zote mbili.