Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 124690

YANGA YAIDUNGUA MAJIMAJI YA SONGEA 1-0 NYUMBANI KWAO

$
0
0

Timu ya Maji Maji ya Songea (WANALIZOMBE) wameshindwa kuutumia uwanja wake wa nyumbani baada ya kufungwa bao moja na YANGA katika mchezo uliochezwa uwanja wa MAJI MAJI mjini SONGEA mkoani RUVUMA, Hapa tumekusogezea goli la YANGA pamoja na mahojiano na makocha wa timu zote mbili.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 124690

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>