Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 116996

Redd's Miss Ustawi wa Jamii kufanyika Mei 17

$
0
0
 Walimbwende wanaowania taji la Redd's Miss Uswawi wa Jamii 2013,wakiwa wameweka pozi kwenye picha ya pamoja wakati wa mazoezi yao ya kujiandaa na shindano lao hilo linalotarajia kufanyika Ijumaa hii (mei 17,2013) katika Ukumbi wa SunSirro,Sinza jijini Dar es Salaam huku wakisindikizwa na Malkia wa Mipasho Tanzania,Bi. Khadija Kopa na Msanii wa Bongo Fleva,Barnaba.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 116996

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>