Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117994

Dkt Shein azungumza na wanafunzi wa skuli ya Fidel Castro, Pemba

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na wanafunzi wa Skuli ya Fidel Kastro Pemba leo jioni, Rais alichukua hatua hiyo kusikiliza changamoto mbali mbali zinazoikabili skuli pamoja na wanafunzi wanaosoma katika Skulini hapo,Picha na Ramadhan Othman,Ikulu, Zanzibar

Viewing all articles
Browse latest Browse all 117994

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>