Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 118066

Dr. Sezibera afungua kongamano la siku mbili katika kuadhimisha Siku Uhuru vyombo vya Habari jijini Arusha

Meza Kuu ikiongozwa na Mgeni rasmi Katibu mkuu wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki Balozi Dr. Richard Sezibera (wa pili kulia) na Mwakilishi wa Shirika la UNESCO nchini Tanzania Vibeke Jensen (wa tatu kushoto).
Mgeni rasmi Katibu mkuu wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki Balozi Dr. Richard Sezibera akihutubia na kufungua Kongamano la Siku Mbili linaloenda sambamba na maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa vyombo vya Habari Duniani.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 118066

Trending Articles