Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117978

JIBU LA chemsha bongo: hapa ni wapi na barabara hii ni ya kutoka wapi kwenda wapi??

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Barabara hii ni ya kutoka Singida kuelekea Shelui mpaka Igunga Mkoani Tabora,na hapa ni katika kijiji cha Ntondo kilichopo Mkoani Singida.Shukrani kwa wadau wote waliojaribu kujibu Chemsha Bongo hii ambayo haikuwa na Zawadi.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 117978

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>