Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117970

mdau asherehekea kula nondozzz na wazee wasiojiweza

Ni mdau Rehema Mwaituka  ambaye baada ya kula nondozzzz yake  katika fani ya ustawi wa jamii katika Chuo cha Ystawi wa Jamii jijini Dar es salaam aliamua  kusherehekea na wazee wanaoishi katika kijiji cha wasiojiweza cha Msimbazi Centre jijini Dar es salaam
 Rehema akiwakaribisha wazee katika meza ya chakula
 Mdau Rehema akipata mlo na wazee


Viewing all articles
Browse latest Browse all 117970

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>