Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 118420

Mgombea Ubunge Jimbo la Mbeya Mjini Sambwee Shitambala ajinadi

$
0
0
Mgombea Ubunge Jimbo la Mbeya kwa tiketi ya CCM Mjini Sambwee Shitambala akishangiliwa na baadhi ya WanaCCM  Kata ya Maanga Jijini Mbeya alipokuwa katika kampeni zake za kuomba ridhaa ya kuchaguliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini. 
Meneja kampeni wa Mgombea Ubunge Jimbo la Mbeya Mjini Kupitia Chama Cha Mapinduzi  ndugu Charles Mwakipesile akizungumza jambo katika mkutano wa adhara wa kampeni Ulio fanyika katika Kata ya Maanga Jijini Mbeya.
Mgombea Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi Ccm Mh.Sambwee Shitambala akizungumza na Wananchi wa kata ya Maanga Jijini Mbeya, katika mkutano wa adhara wa kampeni ya kumba kuchaguliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini kwa Tiketi ya Chama cha Mapinduzi Ccm.
WanaCCM  na Wananchi wa Kata ya Maanga wakipunga mikono. 
Picha Zote na Fadhiri Atick a.k.a Mr.Pengo Mbeya.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 118420

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>