Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 118129

Balozi Dr. Diodorus Kamala akutana na watanzania wanaosoma Chuo Kikuu cha Ghent nchini Ubelgiji

Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (mwenye tai ya bendera ya taifa) akiwa katika picha ya Pamoja na Wanachuo kutoka Tanzania wanaosoma Chuo Kikuu cha Ghent nchini Ubelgiji. Balozi Kamala yuko kwenye ziara ya kikazi ya kukutana na Watanzania katika eneo lake la uwakilishi.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 118129

Trending Articles