Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 118065

MASHABIKI MISRI WACHOMA OFISI ZA SHIRIKISHO LA SOKA


Image may be NSFW.
Clik here to view.
Ofisi ya Shirikisho la Soka nchini Misri likiwaka moto baada ya kuchomwa na mashabiki kufuatia hukumu ya mahakama ya kifo kwa watu 21. 

Mashabiki wa soka wa klabu ya Al-Ahly katika jiji la Cairo nchini Misri wamezua balaa katika jiji hilo ikiwa ni pamoja na kuichoma moto ofisi ya shirikisho la soka nchini humo kufuatia mahakama jijini Cairo kutoa hukumu ya kifo kwa mashabi 21 wa soka.
Image may be NSFW.
Clik here to view.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 118065

Trending Articles