Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 117978

JUMUIYA YA FAWE ZANZIBAR YAKABIDHI FEDHA KWA WANAFUNZI MAYATIMA

 Wakushoto Katibu wa Jumuiya ya Fawe Zanzibar Dkt.Mwatima,wa katikati Kaimu Mratib Fawe Arafa Yahya na wakulia ni Bi Mwaka Sleiman Mlezi wakiwa katika Picha ya pamoja na wanafunzi waliopatiwa msada huko Ofisini kwao Vuga. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.
  Katibu wa Jumuiya ya FaweZanzibar Dkt.Mwatima Abdalla Juma akimkabidhi msada wa fedha mwanafunzi Halima Vuai Issa uliotolewa na Al-Amana ya Dubai kupitia Jumuiya ya FaweZanzibar.
  Katibu wa Jumuiya ya Fawe Zanzibar Dkt.Mwatima Abdalla Juma akimkabidhi msada wa fedha mwanafunzi Abushiri Abdalla uliotolewa na Al-Amana ya Dubai kupitia Jumuiya ya FaweZanzibar.
Katibu wa Jumuiya ya FaweZanzibar Dkt.Mwatima Abdalla Juma akifafanua kitu kwa wanafunzi mayatima waliofika kupokea msada wa fedha uliotolewa na Al-Amana ya Dubai kupitia Jumuiya ya  FaweZanzibar,hawapo pichani kulia Kaimu Mratibu Fawe Arafa Yahya hafla hiyo imefanyika ofisini kwao Vuga Mjini Zanzibar.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
 Katibu wa Jumuiya ya FaweZanzibar Dkt.Mwatima Abdalla akizungumza na wazee na wanafunzi kabla ya kuwakabidhi msada wa fedha zilizotolewa na Al-Amana ya Dubai kupitia Jumuiya ya FaweZanzibar.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 117978

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>