Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 118087

Weruweru river lodge hotel ya Moshi mjini yakutwa ikiiba umeme.

Weruweru river lodge hotel ya mjini Moshi imebainika kutumia umeme wa wizi mchana huu. Kikosi toka Tanesco makao makuu pamoja na mafundi mkoa Kilimanjaro wamebaini hotel hiyo kutumia umeme usiopitia kwenye mita. 
Mhandisi Francis Maze amesema hotel hiyo inamatumizi makubwa sana hivyo ni wazi kwamba Shirika limekuwa likipoteza mapato makubwa sana kupitia wateja hao. Meneja mkuu wa hotel na fundi mkuu wamechukulia na polisi kwa taratibu za kisheria.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Weruweru river lodge hotel ya mjini Moshi

Hivi ndiyo njia iliyowezesha Weruweru river lodge hotel kutumia umeme bila kupitia kwenye mita.



Viewing all articles
Browse latest Browse all 118087

Trending Articles