Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 118000

DKT SHEIN AKUTANA NA UJUMBE WA MCC IKULU, ZANZIBAR

 Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Mkuu wa Utumishi wa MCC Bw.Steve Kaufmann,akiongoza ujumbe wa viongozi wa MCC waliofika Ikulu Mjini
Zanzibar kwa mazungumzo na Rais 
Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akifuatana na Mkuu wa Utumishi wa MCC Bw.Steve Kaufmann,kiongoza ujumbe wa viongozi wa MCC waliofika Ikulu Mjini Zanzibar baada ya  mazungumzo na Rais jana.Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 118000

Trending Articles