WAZIRI MKUU: MUWAFUATE WANANCHI VIJIJINI
*Ataka watenge siku tatu hadi nne waende waliko wananchi*Asema Serikali hii haitaki mambo ya urasimuWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka watumishi wote wa Serikali za Mitaa nchini watenge theluthi...
View ArticleUKAGUZI WA MAGARI, LESENI NA OPARESHENI YA KUKAMATA MAKOSA YA USALAMA...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limeendelea kukabiliana na vitendo vya uhalifu na ajali za barabarani ili kuhakikisha kuwa wageni na wakazi wa Mkoa huu wanaendelea kuwa salama na mali zao. Aidha Jeshi la...
View ArticleWAZIRI MKUU AKEMEA MAHUSIANO MABAYA YA WATUMISHI KAHAMA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekemea mahusiano mabaya baina ya watumishi wa wilaya ya Kahama na kusema wanapaswa kubadilika mara moja.Ametoa onyo hilo leo (Jumapili, Julai 15, 2018) wakati akizungumza...
View ArticleKANISA lagawa Pikipiki kwa wachungaji,Polisi
KANISA la Pentecostal Assemblies of God (PAG), limegawa Pikipiki kwa wachungaji wake ikiwamo Kituo cha Polisi cha wilaya ya Hanang mkoani Manyara. Lengo la kutolewa kwa vyombo hivyo vya usafiri ni...
View ArticleMAMA WA MITINDO ASIA IDAROUS KATIKA FASHION ASSOCIATION OF TANZANIA NCHINI...
Mwanamitindo maarufu nchini, Asia Idarous Khamsin akiwakilisha kwenye Fashion Association of Tanzania katika Annual event (global arts expo) iliyofanyika jiji ni Virginia nchini Marekani, Jumla ya...
View ArticleRPC ARUSHA ATAJA VIPAUMBELE VITANO KUELEKEA KUUSHINDA UHALIFU
Na Rashid Nchimbi wa Jeshi la Polisi ArushaJeshi la Polisi mkoani hapa kupitia Kamanda wake wa mkoa Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Ramadhani Ng’anzi, limetaja mambo matano ambayo...
View ArticleVIONGOZI WA SERIKALI YA KENYA WAOMBA MASHIRIKIANO BAINA YAO NA TANZANIA...
Viongozi wa serikali nchini Kenya wameomba kuendelea kushirikiana vyema na serikali ya Tanzania katika kupinga na kupiga Vita suala la Ukeketaji kwa Watoto wa kike huku serikali ikiongoza vyema wazee...
View ArticleBILIONI 1.5 KUJENGA WODI YA MAMA NA MTOTO
Na Shushu Joel, BariadiSerikali imetenga kiasi cha shilingi bilioni 1.5 kwa ajili ya ujenzi wa wodi ya mama na Mtoto katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Simiyu.Hayo yamesemwa na Waziri wa Afya,...
View ArticleKIVUKO CHA MV. NYERERE CHAFUNGWA INJINI MPYA
Na Theresia Mwami - TEMESAKivuko cha MV. NYERERE kinachotoa huduma kati ya Bugorola na Ukara katika Wilaya ya Ukerewe Mkoani Mwanza, kinafungwa injini mpya tangu kununuliwa kwake na kuanza kutoa huduma...
View ArticleWachimbaji Wadogo Handeni Kunufaika na Kituo cha Umahiri
Frank Mvungi- MAELEZO, HandeniSerikali Wilayani Handeni imewataka wananchi kutumia fursa ya kujengwa kwa Kituo cha umahiri katika Wilaya hiyo kujiletea maendeleo kupitia sekta ya madini.Akizungumza...
View ArticleHUKUMU KESI YA WEMA SEPETU YASOGEZWA MBELE MPAKA JULAI 20
Muigizaji wa Bongo movie Wema Sepetu akitoka mahakamani baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuahirisha kusoma hukumu dhidi ya kesi yake ya matumizi ya dawa za kulevya inayomkabili yeye na...
View ArticleKALIUA YATOA PIKIPIKI 12 KWA MAOFISA UGANI ILI WAENDE KWA WAKULIMA
Na Tiganya Vincent, TaboraJUMLA ya watumishi 12 wa Kada mbalimbali wa Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua wakabidhiwa pikipiki zenye thamani ya milioni 29 kwa ajili ya kurahisisha utoaji huduma...
View ArticleNEWZ ALERT:WAZIRI MBARAWA AMNG'OA MKURUGENZI MAMLAKA YA MAJI KIGOMA
Na Editha Karlo,blog ya jamii Kigoma.WAZIRI wa Mji na Umwagiliaji Prof. Makame Mbarawa amemuondoa kwenye nafasi yake ya Ukurugenzi wa Mamlaka ya Maji Mkoa wa Kigoma (KUWASA) Saimon Lupuga baada ya...
View ArticleZFDA YATEKETEZA TANI 95 ZA CHAKULA NA TANI MOJA YA DAWA ZA BINADAMU...
Na Ramadhani Ali, Maelezo ZanzibarMamlaka ya Chakula na Dawa Zanzibar (ZFDA) imejidhatiti kuhakikisha kuwa bidhaa zinazoingizwa nchini zinawafikia wananchi zikiwa salama kwa matumizi kwa lengo la...
View ArticleAIRTEL MONEY NA SPORTPESA WAENDELEA KUTOA ZAWADI KWA WASHINDI
Mshindi wa promosheni ya AMSHA AMSHA USHINDE NA AIRTEL MONEY Fredy Mduma wa Kimara DSM akikabidhiwa zawadi yake ya simu aina ya smartphone na Meneja Uhusiano SportPesa Tanzania Sabrina Msuya wakati wa...
View ArticleSerikali Yapongezwa Kwa Kuwainua Wanawake Sekta ya Madini
Msanifu majengo wa Kampuni ya InterConsult Ltd Bw. Beno Matata akieleza mikakati ya kampuni hiyo katika kuhakikisha kuwa inasimamia mradi wa ujenzi wa Kituo Maalum kitakachotumika kuwajengea uwezo...
View ArticleKAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA APOKELEWA RASMI LEO MAKAO MAKUU YA JESHI HILO
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, Phaustine Kasike akipokea saluti kutoka kwa Kamishna wa Utawala wa Magereza, Gaston Sanga mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Ofisi ya Makao Makuu ya Jeshi...
View ArticleKUSANYO LA KODI MWAKA WA FEDHA 2017/2018 LAPANDA KWA ASILIMIA 7.5
Na Leandra Gabriel, Blogu ya jamiiMAMLAKA ya Mapato nchini (TRA) wamefanikiwa kukusanya jumla ya shilingi Trilioni 15.5 kwa mwaka mzima wa fedha 2017/2018 kuanzia julai 2017 hadi Juni 30 2018...
View ArticleKANGI LUGOLA ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA KIKOSI CHA KUTULIZA GHASIA, UKONGA...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (watatu kutoka kushoto), akipata maelezo juu ya ubora wa silaha inayotumika katika kupambana na uhalifu baada ya kutembelea Makao Makuu ya Kikosi cha...
View ArticleZamfuko kutua mbao fc
Na Agnes Francis, globu ya jamii.Hatimaye klabu ya mbaofc wamefanikiwa kuinasa saini ya mchezaji Zam Elias Zamfuko aliyekuwa akichezea timu ya Afrikan Lyon.Katika makubaliano baina yao kiungo mkabaji...
View Article
More Pages to Explore .....