MKUU WA MAJESHI YA ULINZI JENERALI VENANCE MABEYO ATEMBELEA BANDA LA NSSF...
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo akizungumza alipotembelea banda la Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF na kuwapongeza NSSF kwa ushindi wa Jumla alipotembelea Banda la NSSF...
View ArticleWIZARA YA MALIASILI NA UTALII YANYAKUA TUZO MBILI KWENYE MAONESHO YA SABASABA
Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Utalii, Jaji Mstaafu, Thomas Mihayo ( wa tano kulia) akiwa pamoja na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Utalii, Deograsius Mdamu ( wa sita kushoto) wakiwa na Baadhi ya...
View ArticleBENKI YA CRDB YAVUTIA WENGI MAONYESHO YA SABASABA 2018
Wananchi waliofika katika Maonyesho ya Sabasaba wakipata huduma za kutoa pesa na kuweka katika Mobile Branch.Wananchi wakipata huduma za kifedha katika banda la Benki ya CRDB katika Maonyesho ya...
View ArticleTrend Solar kuwafikia wananchi washio kijijini
Kampuni ya Trend Solar leo imezindua programu ya kisasa ya umeme ambayo itasaidia jamii kubwa ya waafrika waishio vijijini. Trend Solar ilianza huduma yake mwaka 2017, chini ya waasisi wake Irfan Mirza...
View ArticleKamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu yatembelea TAA kuona utendaji wake
Kaimu Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya ndege Tanzania, Richard Mayongela akimpokea mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu Suleimani Kakoso ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la...
View ArticleVodacom Tanzania yakabidhi zawadi kwa mshindi wa Sh. 290 M za Tusua Mapene
Mshindi mkuu wa awamu ya kwanza ya promosheni ya Tusua mapene, Jackson A. Mwankemwa (51) ambaye ni mkazi wa kijiji cha Msasani, Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya, akikabidhiwa mfano wa hundi yenye...
View ArticleWaziri wa Maji atembelea Shirika la Maji DAWASCO
Waziri wa Maji na Umwagiliaji Prof. Makame Mbarawa (kulia) akipokelewa na mwenyeji wake Mkurugenzi Mkuuwa Shirika la Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASCO), Cyprian Luhemeja wakati Waziri huyo...
View ArticleSHIRIKA LA POSTA TANZANIA (TPC) LATOA TAARIFA YA MAFANIKO YAKE YA KIUTENDAJI...
Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Posta Tanzania (TPC), Kanali Mstaafu, Dk. Haruni Kondo, akizungumza na waandishi wa habari, wakati alipokuwa akitoa taarifa ya mafanikio ya kiutendaji wa shirika hilo,...
View ArticleActing U.S. Ambassador welcomes PM Majaliwa to U.S. Embassy booth
Chargé d’Affaires of the U.S. Embassy in Tanzania Dr. Inmi Patterson welcomes Prime Minister Kassim Majaliwa to the U.S. Embassy booth at the Sabasaba trade fair on Wednesday, July 4. The U.S. Embassy...
View ArticleUKAGUZI WA MAGARI KILIMANJARO WABAINI ,MADEREVA KUTUMIA LESENI ZA NDUGU ZAO
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii KAnda ya Kaskazini. UKAGUZI wa Magari ya Abiria pamoja na Leseni unaofanywa na Jeshi la Polisi mkoa wa Kilimanjaro umebaini udanganyifu mkubwa unaofanywa na baadhi...
View ArticleTume ya Uchaguzi yamuaga aliyekuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R) Semistocles Kaijage (kulia) akimkabidhi ua aliyekuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Bw. Kailima Ramadhani ikiwa ni ishara ya kumuaga na kumtakia kila la kheri...
View ArticleNAIBU WAZIRI MABULA ASHUHUDIA MAENDELEO MAKUBWA SEKTA YA NYUMBA ZANZIBAR
Na Hassan Mabuye, Wizara ya ArdhiNaibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Angeline Mabulla amefanya ziara katika kisiwa cha Zanzibar na kujionea Ujenzi wa mji wa kisasa wa nyumba za...
View ArticleWASHINDI WA KWANZA WA SHINDANO LA ‘TUSUA MAISHA NA GLOBAL’ WAZAWADIWA
WASHINDI wa kwanza wa Shindano la Tusua Maisha na Global, wamekabidhiwa zawadi zao leo katika ofisi za Global Publishers zilizopo Sinza-Mori jijini Dar es Salaam.Washindi waliokabidhiwa zawadi ni...
View ArticleUamuzi kama Hakimu anayesikiliza kesi ya viongozi dhidi ya viongozi wa...
Na Karama Kenyynko, blogu ya JamiiUamuzi kama hakimu Hakimu Mkazi Mkuu ,Wilbard Mashauri anayeendesha kesi inayowakabili viongozi tisa wa Chadema waliomtaka ajitoe kusikiliza kesi hiyo utatolewa Julai...
View ArticleKesi ya Sethi na Rugemalira yazidi kupigwa Kalenda
Na Karama Kenyunko, blogu ya jamii.Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa mara nyingine tena, imeipiga kalenda kesi ya Uhujumu uchumi inayomkabili, Mmiliki wa Kampuni ya Kufua Umeme ya IPTL, Habinder Seth...
View ArticleMWANAMUZIKI WA DRC WERRASON NGIAMA MAKANDA ATUA DAR, KUANZA NA ARUSHA KESHO...
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.MWANAMUZIKI nguli wa muziki wa dansi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Werrason Ngiama Makanda, amewasili nchini kwa ajili ya kufanya maonyesho tofauti...
View Article
More Pages to Explore .....