TIB CORPORATE BANK YAWAKARIBISHA KWENYE MAONESHO YA SABASABA
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii. Benki ya TIB Coorporate imewataka wananchii kujitokeza kwenye banda lao lililopo ndani ya maonesho ya 42 ya Sabasaba na kuweza kufungua akaunti za benki hiyo ili...
View ArticleDKT. NDUNGULILE AFUNGA KONGAMANO LA MADKTARI JIJI DAR ES SALAAM
Naibu Waziri wa Afya Wanawake Jinsia na Watoto.Dk Faustine Ndungulile akizungumza wakati wa kufunga kongamano la sita la watalaamu wa Sayansi na tiba Naibu Waziri wa Afya Wanawake Jinsia na Watoto.Dk...
View ArticleWAZIRI LUGOLA ARIPOTI KAZINI, AANZA NA KIKAO NA WATENDAJI WAKUU
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola akiongozana na Naibu Waziri wa wizara hiyo, Mhandisi Hamad Masauni(kulia) baada ya kupokelewa leo ofisi ndogo ya wizara,jijini Dar es Salaam.Picha na...
View ArticleWANAWAKE NI NGUZO MUHIMU YA KUJENGA UCHUMI IMARA TANZANIA - DC WA MROGORO NA...
Mkuu wa Wilaya ya Gairo Mhe. Siriel Shaidi Mchembe amemtembelea Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Mhe. Regina Chonjo ili kujadiliana masuala mbali mbali yanayozikabili wilaya zao. Waheshimiwa hawa waliweza...
View ArticleTFDA YAWEZESHA MKOA WA KATAVI KUWA NA VIWANDA VINGI VYA UZALISHAJI VYAKULA
Picha ya pamoja baina ya Wajasiriamali Wadogo wa Usindikaji wa Vyakula mkoani Katavi, Watumishi wa TFDA, na wawezeshaji kutoka Taasisi za Serikali katika Ufunguzi wa mafunzo ya siku mbili, tarehe 2 –...
View ArticleNaibu Waziri Shonza atoa wito Kwa Halmashauri kutenga Fedha kuboresha miundo...
Na Lorietha Laurence-WHUSM, Mbulu Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza ametoa wito kwa uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu Mjini kuhakikisha wanatengeneza miundo...
View ArticleRC KIGOMA ATOA MAAGIZO KWA WAKUU WA WILAYA, WAHANDISI KUUSIMAMIA MRADI WA...
Na Rhoda Ezekiel, KigomaMKUU wa Mkoa wa Kigoma Brigedia Generali Mstaafu Emanueli Maganga amewaagiza wakuu wa wilaya za Kibondo na Kakonko pamoja na Wahandisi wa Wilaya hizo kuweka kambi katika Kata ya...
View ArticleMWIJAGE AZINDUA KLINIKI YA BIASHARA SABASABA
WAZIRI wa viwanda na Biashara Charles ametoa angalizo kwa watu ambao wamepewa shamba la kupanda miwa mkoani kigoma kuhakikisha kuanza kazi hiyo na akikuta shamba hilo bado halijaendelezwa...
View ArticleNaibu Waziri Mhe.Shonza Atoa Wito kwa Wasanii Nchini kuhamasisha Utalii wa Ndani
Naibu Waziri wa Habari , Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza (katikati) akiangalia uoto wa asili ambao hupatikana katika Hifadhi ya Taifa ya ya Ziwa Manyara wakati wa ziara ya kutembelea...
View ArticleWAZIRI JAFFO AMMWAGIA SIFA RC MAKONDA KWA KUWAJALI WALIMU.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Mhe. Suleiman Jaffo amemwaga Sifa kwa Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda kwa jitiada binafsi za kuwaboreshea...
View ArticleSerikali kuwaenzi Wanamichezo Wakongwe
Na Lorietha Laurence-WHUSM,Mbulu Mjini Serikali imeandaa mpango wa kuwaenzi watu mashughuri wakiemo wanamichezo wakongwe ambao wamewahi kuliletea taifa heshima katika mashindano mbalimbali akiwemo...
View ArticleBARAZA LA KILIMO NA MIFUGO TANZANIA(ACT) YAWASILISHA MATOKEO YA UTAFITI...
Mtafiti kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,Renger Kanani akiwasilisha matokeo ya utafiti uliosimamiwa na Baraza la Kilimo na Mifugo Tanzania(ACT) kuhusu Kilimo cha Mkataba katika mazao ya Mbogamboga...
View ArticleBenki ya Azania kuendelea kusaidia upatikanaji rahisi wa huduma za kifedha...
Ni benki ya kwanza ya kiasili inyowezesha huduma zote za kifedha sehemu moja kwenye Kliniki ya Biashara iliyopo kwenye maonyesho ya Sabasaba Benki ya Azania (ABL) ambayo ni benki binafsi ya kiasili...
View ArticleVIONGOZI WA AMCOS NNE WILAYANI IGUNGA WAKAMATWA KWA UNUNUZI WA PAMBA CHAFU
NA TIGANYA VINCENT,RS TABORA.SERIKALI ya Mkoa wa Tabora imemwagiza Mkuu wa Polisi wa Wilaya ya Igunga (OCD)Viongozi wa Vyama vya Msingi vya Ushirika(AMCOS) vinne kwa tuhuma za ununuzi wa pamba chafu na...
View Article
More Pages to Explore .....