TRA YAJIKITA ZAIDI KUHUDUMIA WANANCHI KATIKA MAONYESHO YA SABASABA
Afisa Mwandamizi wa Uchambuzi wa Mifumo ya Biashara wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Makao Makuu Bw. Mathias Chanila akimhudumia mwananchi aliyetembelea Banda la TRA katika Maonyesho ya 42 ya...
View ArticleWateja Halopesa sasa kutuma pesa bure
· Sasa wataweza kutuma na kupokea pesa kutoka mitandao mingine. Kampuni ya mawasiliano ya simu ya Halotel imeondoa gharama za kutuma pesa kwa wateja wanaotumia huduma ya kifedha ya Halopesa, na...
View ArticleBodi ya Shirika la Reli Tanzania (TRC) yashiriki mafunzo ya siku mbili ya...
Bodi ya Shirika la Reli Tanzania (TRC) inayoongozwa na Mwenyekiti Prof. John Kondoro imeshiriki mafunzo ya siku mbili ya uongozi kwa wajumbe wa Bodi (Board Leadership Training) yalioandaliwa na...
View ArticleDAKTARI BINGWA WA MAGONJWA YA MOYO WA HEAMEDA MEDICAL CLINIC ATOA USHAURI...
Na Said Mwishehe, Globu ya jamiiDAKTARI Bingwa wa magonjwa ya moyo nchini kutoka Heamedia Medical Clinic Dk. Hery Mwandolela amesema kuna umuhimu mkubwa wa kila mmoja wetu kuhakikisha anapima afya yake...
View ArticleWAZIRI LUGOLA AWASILI WIZARANI AFANYA KIKAO NA WATENDAJI WAKUU
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola akiongozana na Naibu Waziri wa wizara hiyo, Mhandisi Hamad Masauni(kulia) baada ya kupokelewa leo ofisi ndogo ya wizara,jijini Dar es Salaam.Picha na...
View ArticleTPA YAWAKUTANISHA WAFANYABIASHARA KUTOKA NCHI SABA WANAOTUMIA BANDARI ZA...
Naibu Waziri, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Uchukuzi na Mawasiliano), Atashasta Nditiye akizungumza kuhusu Serikali wanavyopanua wigo wa kutoa huduma kupitia bandari za Tanzania...
View ArticleYALIYOJIRI LEO KWENYE BANDA LA BUNGE KATIKA MAONYESHO YA 42 YA BIASHARA YA...
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Tata Ole Nasha (kushoto) akipokelewa na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Habari, Elimu na Mawasiliano Ofisi ya Bunge, Zuhura Mtatifikolo alipotembelea Banda la...
View ArticleNSSF YADHAMIRIA KUTOA MIKOPO YA RIBA NAFUU KWA SEKTA ISIYO RASMI IKIWAMO YA...
SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) limedhamiria kutoa mikopo ya riba nafuu kwa sekta isiyo rasmi wakiwamo wajasiriamali, waendesha bodaboda, mamalishe, wakulima, wavuvi na wote waliojiunga...
View ArticlePROPERT INTERNATIONAL LIMITED YAWAHIMIZA WALIMU, WAUGUZI DAR KUCHANGAMKIA...
Na Said Mwishehe,Globu ya jamiiPROPARTY International Limited imewahimiza watumishi wa umma na hasa walimu na wauguzi katika Mkoa wa Dar es Salaam kuchangamkia fursa ya kujipatia viwanja kwa bei...
View ArticleKIGWANGALLA ATOA ONYO KALI KWA WANAOCHIMBA MADINI KWENYE MSITU WA HIFADHI...
Na Hamza Temba, MbeyaWaziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla ametoa onyo kali kwa wananchi wanaojihusisha na vitendo vya uchimbaji wa mchanga wa madini ya dhahabu (makinikia) ndani...
View ArticleTIMU 16 BORA ZA SPRITE BBALL KINGS KUPIGWA JUMAMOSI NA JUMAPILI
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.Droo ya hatua ya 16 bora ya michuano ya Sprite BBall Kings imefanyika jana usiku moja kwa moja na kila timu kumfahamu mpinzani wake ikishuhudiwa na viongozi wa...
View ArticleNHC YALETA NYUMBA ZA BEI NAFUU KWENYE MAONESHO YA SABASABA
Sehemu ya Banda la Shirika la Nyumba la Taifa NHC Linavyonekana kwa nje kwenye Maoneshoi ya Biashara ya 42 Sabasaba yanayoendelea kwenye Viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam. Afisa Mauzo...
View ArticleTIA: IDADI YA WANAOJIUNGA INAONGEZEKA KILA MWAKA
Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara wa TIA , Gorah Abdallah akizungumza katika Maonesho ya 42 ya Biashara ya Kimataifa katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere (Sabasaba) jijini Dar es Salaam.Baadhi...
View ArticleKIWANDA CHA DAWA KIKUBWA KUJENGWA NCHINI.
NA WAMJW-DAR ES SALAAM KIWANDA kikubwa cha kutengeneza dawa kinatarajiwa kujengwa nchini ili kupunguza adha na gharama zinazoikumba nchi wakati wa kuagiza dawa nje ya Tanzania. Hayo yamesemwa na Waziri...
View ArticleMKEMIA MKUU WA SERIKALI ATEMBELEA MAONESHO YA KIMATAIFA YA BIASHARA (SABA SABA)
Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko (kushoto) akimsikiliza Meneja Mawasiliano na Uhusiano kwa Umma wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), Bi. Gaudensia Simwanza, mara baada ya kutembelea...
View ArticleTAASISI ya House Of Vision (VHV) YANG'ARA SABASABA NA FURSA YA KUINUA VIJANA...
Na Leandra Gabriel, Globu ya JamiiTAASISI ya House Of Vision (VHV) inayojihusisha na ujasiriamali imejizatiti kutumia msimu huu wa sabasaba kuwasaidia vijana kutengeneza uchumi wao binafsi kutokana na...
View Article
More Pages to Explore .....