Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 110029 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shangwe za M-Pesa zahamia Jijini Mbeya, gari ya pili yaenda Tukuyu

 Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Paul Ntinika (kushoto) akimkabidhi namba ya gari mshindi wa Mpesa Mkazi wa Tukuyu Wilaya ya Rungwe, Mbeya, Tumaini Msosi (kulia) jana baada ya kuibuka mshindi katika shindano...

View Article



Image may be NSFW.
Clik here to view.

MUHOGO SASA RASMI KWENYE MAZAO YA BIASHARA-MAJALIWA

*Ni baada ya kupata soko kubwa nchini China  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ya China imetoa fursa ya kufungua soko la muhogo mkavu kutoka Tanzania, tukio ambalo  linafungua ukurasa mpya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Young Killer aachia video ya ‘Hunijui’ akiwashirikisha Dully Sykes na Ben Pol

Rapper Young Killer Msodoki ameachia video ya wimbo wake mpya ‘Hunijui’ aliomshirikisha mkongwe kwenye muziki wa Bongo Flava, Dully Sykes pamoja na mfalme wa R&B Tanzania, Ben Pol.Kwa historia yake...

View Article

zifahamu faida za kuwa Mwanachama wa IMEI Community

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MULTICHOICE TANZANIA YAWEKA NGUVU KWENYE RIADHA

MultiChoice Tanzania imetangaza kuendelea kudhamini mchezo wa riadha hapa nchini huku ikisaini makubaliano maalum ya kumdhamini mwanariadha kinda Francis Damiano Damasi. Udhamini huo unahusisha fedha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TBL YAPELEKA WASHINDI WAKE NCHINI URUSI KUSHUHUDIA MICHUANO YA KOMBE LA DUNIA

Meneja Masoko na udhamini wa TBL group, George Kavishe akiwa katika Uwanja wa Spartak jijini Moscow nchini Urusi pamoja na washindi wa ticket za Kombe la dunia kutoka Tanzania kupitia bia ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wakulima wa ufuta watakiwa kufanya kilimo biashara

Na MwandishiWetuWakulima wa ufuta nchini wametakiwa kuachanana kilimo cha mazoe and kufanya kilimo biashara. Hasa katika kuongeza tija ya uzalishaji ili kukabiliana na changamoto wakati bei inaposhuka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SPRITE BBALL KINGS HATUA YA MCHUJO KUFANYIKA KESHO

Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.Michuano ya Sprite BBall Kings 2018 yanaanza kutimua vumbi kesho kwa michezo 25 kuchezwa katika hatua ya mtoano kwenye Viwanja vya Jakaya Kikwete Youth Park Kidongo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAJI IMANI ABOUD WA TANZANIA ASHINDA UCHAGUZI WA MAJAJI WA MAHAKAMA YA AFRIKA...

Mkutano wa 33 wa Baraza la Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Afrika unaoendelea Jijini Nouakchott, Mauritania kwa siku mbili, leo tarehe 29 Juni, 2018 umefanya uchaguzi wa Majaji wanne wa Mahakama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YATENGA 4.3bn/- KUJENGA VITUO VYA KUHIFADHI DAMU SALAMA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imetenga sh. bilioni 4.3 ili kujenga vituo vya kuhifadhi damu (satellite blood banks) kwenye mikoa 12.Ameitaja mikoa hiyo kuwa ni Manyara, Katavi, Rukwa,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BARAZA LA UUGUZI LAWATIA HATIANI WAUGUZI WAKUNGA SITA

Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) limewakuta na hatia na kuwapa karipio kali la maandishi Wauguzi Wakunga sita katika Hospitali ya Mkoa wa Morogoro kwa kushindwa kutimiza majukumu yao ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanawake Milioni 2.6 Kunufaika na Mradi wa ‘50 Million Women Speak Project’

Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO.Takribani wanawake milioni 2.6 wanategemea kunufaika na mradi ujulikanao kama 50 Million Women Speak Project’ unaolenga kuwawezesha wanawake kupata taarifa za kiuchumi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA ZIMBABWE ATEMBELEA CHUO CHA KILIMO NA MIFUGO CHA KAOLE AMBACHO MIAKA...

Rais wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa akizungumza jambo na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. Edmund Mndolwa mara baada ya kuwasili katika chuo cha Kilimo na Mifugo cha Kaole...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT MAGUFULI AMUAGA MGENI WAKE RAIS EMMERSON MNANGAGWA WA ZIMBABWE LEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimsindikiza mgeni wake Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe aliyemaliza ziara yake rasmi ya siku mbili nchini katika uwanja wa ndege wa...

View Article

BBC DIRA YA DUNIA IJUMAA 29.06.2018

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NHC YAWAKARIBISHA WANANCHI KUTEMBELEA BANDA LAO KWENYE MAONESHO YA SABASABA

 Afisa Miliki wa Shirika la Nyumba la Taifa NHC  Bw. Augustino Sanga akiongea na mmoja ya Wateja waliofika katika banda la NHC katika Maonesho ya Sabasaba yanayoendlea Jijini Dar es Salaam. Afisa Mauzo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Matukio ya mbalimbali ya maonesho ya Sabasaba

 WAZIRI wa Viwanda na Uwekezaji , Charles Mwijage (wa pili kushoto), akipata maelezo  kutoka kwa Mtafiti Msaidizi  wa  Kampuni ya Camartec ya Arusha,  Mhandisi  Noela  Byabachwezi kuhusu zana za kilimo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

INFINITY GYM YAWASHAURI WANAOFANYA MAZOEZI KUNYWA MAZIWA YA ASAS

Na Said Mwishehe,Globu ya JamiiWATANZANIA ambao wanafanya mazoezi wameshauriwa baada ya kumaliza mazoezi wanywe Yoghurt(maziwa) ya Asas kwani husaidia kulainisha misuli.Ushauri huo umetolewa na Meneja...

View Article

MKUTANO WA WANASAYANSI KUFANYIKA JULAI 2 JIJINI DAR ES SALAAM

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAFUNZI CHUO CHA MAABARA SINGIDA AKIRI KUSAMBAZA ZA UONGO MATUMIZI YA PANADOL

*Ajisalimisha Mamlaka ya Chakula na dawa, awaomba radhi watanzania woteNa Chalila Kibuda, Globu ya JamiiMWANAFUNZI wa Chuo cha Maabara Singida, Elia Mhina amekiri kusambaza taarifa za uongo kwenye...

View Article
Browsing all 110029 articles
Browse latest View live


Latest Images