Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 109591 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zaidi ya Sh 253 milioni kutumika kwa Ulinzi wa Faru katika hifadhi ya Taifa...

 Na Humphrey Shao, Globu ya Jamii Ulinzi wa Faru katika hifadhi ya Taifa ya Serengeti na maeneo ya jirani, unatarajiwa kuimarika zaidi baada ya kuanza mradi maalum wa Faru kufungwa vifaa vya...

View Article



Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAJETI KUU YA SERIKALI 2018/2019 YAPITA KWA KISHINDO BUNGENI JIJINI DODOMA

 Baadhi ya wabunge wakimpongeza Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) na Naibu wake Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb), baada ya kupitishwa kwa Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka...

View Article

SERIKALI YATOA UFAFANUZI SAKATA LA KOROSHO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HOJA YA HAJA: WABUNGE WA KUSINI MSILIGAWE TAIFA ACHENI UPOTOSHAJI KUHUSU...

Na Habib MchangeWananchi watambue kuwa, Mfuko wa Kuendeleza Zao la Korosho “Cashewnut Industry Development Trust Fund (CIDTF)" ni chombo  binafsi  ambacho kilinzishwa mwezi  Juni, 2010 na kusajiliwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKOSI KAZI CHA KITAIFA CHA MPANGO WA SERIKALI KUHAMIA DODOMA CHATEMBELEA...

 Kaimu Mkurugenzi Huduma za Uuguzi Hospitali ya Benjamin Mkapa Dkt.Salome Kassanga akitoa maelezo kuhusu wodi maalum ya viongozi wa Serikali iliyopo katika hospitali hiyo kwa wajumbe wa Kikosi kazi cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vodacom Tanzania yaongezewa masafa na TCRA

Kampuni ya simu inayoongoza nchini Vodacom Tanzania Plc, imepokea kwa furaha tangazo la Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (Tanzania Communications Regulatory Authority) ambapo Vodacom imepewa masafa ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DK.SHEIN AFANYA MAZUNGUMZO NA UONGOZI WIZARA YA ARDHI,NYUMBA,MAJI NA...

 Mkurugenzi Mkuu wa Zura Bw.Haji Kali Hajii  akitoa ufafanuzi kuhusu namna Uagiziaji wa Mafuta yanayofika Nchini na hatimae kuuzwa kwa Wananchi wakati wa Kikao cha Uongozi wa Wizara ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri mkuu ashiriki sherehe za kuhitimisha kuwepo madarakani kwa Mtukufu...

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akigonganisha glasi kumtakia afya njema, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Magufuli na Mtukufu Agakhan, katika sherehe za kuhitimisha kuwepo madarakani kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wafanyakazi wa Tume ya Utumishi wa Walimu wapatiwa mafunzo ya Mfumo wa Ofisi...

 Katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu, Bibi Winifrida Rutaindurwa (katikati) akifuatilia mafunzo ya mfumo wa ofisi mtandao yaliyofanyika katika ukumbi wa Tume ya Utumishi wa Walimu jijini Dodoma....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SEKTA YA KILIMO ZANZIBAR YAENDELEA KUKUA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema uagizaji wa baadhi ya bidhaa zikiwamo za chakula na Matunda nje ya Zanzibar umepungua kutokana na hamasa kubwa walionayo wananchi hasa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TaGLA YAENDELEA NA MAFUNZO YA UPANGAJI MIJI, YAJIZATITI KUTUNZA MAZINGIRA

Na Leandra Gabriel, Blogu ya jamiiWAKALA wa mafunzo kwa njia ya mtandao nchini (TaGLA) wameendelea na mafunzo kwa njia ya mtandao kutoka Korea kusini kuhusiana na masuala ya utunzaji wa upangaji wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FINCA Microfinance kutoa zaidi ya Milioni 10 kwa Wamiliki wa Biashara ndogo...

· Shindano la miezi mitatu lina lengo la kutoa elimu ya fedha na biashara kwa wamiliki wa biashara ndogo ndogo. · Benki ya FINCA Microfinance inaendelea kuwa benki ambayo inahamasisha ushirikishwaji wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAMNA YA KUKATA RUFAA KWA WALIOFUKUZWA KAZI KWENYE UTUMISHI WA UMMA.

Na  Bashir  Yakub.Wapo watumishi wa umma ambao wameachishwa kazi kwasababu mbalimbali na wanahisi kuwa pengine haki haikutendeka lakini hawajui la kufanya. Basi waelewe la kufanya lipo na ni rufaa. Na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TRA YAKAGUA MASHINE ZA EFD

JOSEPH MPANGALA, MTWARA Mamlaka ya mapato mkoani Mtwara wamefanya ziara ya kushtukiza katika baadhi ya maduka kukagua mashine za kutolea risiti na kujionea kama wafanyabiashara wanatoa risiti lakii pia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEWS ALERT: Mchezaji wa kimataifa wa IVORY COAST Wilfried Bony kuongea na...

 Mchezaji wa kimataifa wa Ivory Coast na Westham ya Uingereza Wilfried Bony akiwa na watoto wenye mahitaji maalumu huko Kigamboni jijini Dar es salaam alipowatembelea Jumatatu na kuwapa misaada...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANTRADE YAZUNGUMZIA KUKAMILIKA MAANDALIZI MAONESHA YA BIASHARA SABASABA,...

Na Said Mwishehe,Globu ya jamii MAMLAKA ya Maendeleo ya Biashara(TanTrade) imesema tayari maandalizi ya Maonesho ya biashara yamekamilika huku idadi ya washiriki ikiongezeka kwa kiwango kikubwa. Pia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais wa Zimbabwe kufanya ziara ya kikazi nchini

Mheshimiwa Emmerson Dambudzo Mnangagwa, Rais wa Jamhuri ya Zimbabwe atafanya ziara ya kitaifa nchini Tanzania tarehe 28 hadi 29 Juni, 2018. Hii itakuwa ziara ya kwanza ya Mheshimiwa Rais Mnangagwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAGONJWA 20 WAFANYIWA UPASUAJI WA MOYO WA KUFUNGUA KIFUA KATIKA KAMBI MAALUM...

Jumla ya wagonjwa 20 ambao ni watu wazima wamefanyiwa upasuaji wa moyo wa kufungua kifua katika kambi maalum ya matibabu ya moyo ya siku sita iliyofanywa na madaktari bingwa wa upasuaji wa moyo na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA ZIMBAMBWE KUWASILI NCHINI KESHO

Na Leandra Gabriel, Blogu ya jamiiRAIS wa awamu ya tatu wa Zimbabwe Emerson Mnangagwa anataraji kuwasili nchini mapema kesho kwa ziara ya siku mbili kuanzia June 28 hadi 29 mwaka huu.Akizungumza na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASAS YAJIPANGA KUWAHUDUMIA WANANCHI MAONESHO YA SABASABA , WAKAMILISHA...

ASAS imeamua kupiga kambi katika viwanja vya Maonesho ya Biashara ya Kimataifa yanayotarajia kuanza kesho Juni 28 mwaka huu katika viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam ambapo maandalizi ya banda...

View Article
Browsing all 109591 articles
Browse latest View live




Latest Images