MPOGORO AWATUNUKU VYETI WAHITIMU 281 SENETI YA VYUO NA VYUO VIKUU NA KUVUNA...
Naibu katibu Mkuu wa CCM Bara Ndg.Rodrick Mpogolo akimkabidhi cheti cha pongezi Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi ndg.Kenani kiongosi katika sherehe ya Mahafali ya Seneti ya Vyuo na...
View ArticleSami aridhishwa na vipaji ataka juhudi zaidi za kujituma kwa wachezaji binafsi
Na mwandishi wetuVETERANI wa timu ya soka ya Uingereza ya Liverpool, Sami Hyypia amewataka vijana Watanzania kuongeza bidii katika kuhakikisha kwamba wanafikia hatua za juu za uchezaji soka hivyo...
View ArticleMITANDAO ISITUMIKE KUKWAMISHA SHUGHULI ZA SERIKALI-MAJALIWA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameagiza mifumo ya utoaji huduma Serikali kwa njia ya mitandao isitumike kukwamisha shughuli za Serikali au mipango ya utoaji huduma kwa wananchi.Amesema watakaobainika...
View ArticleZFDA WATEKETEZA TANI 20 ZA MAZIWA YALIYOHARIBIKA
Na Ramadhani Ali – Maelezo Zanzibar 23.6.2018Wakala wa Chakula Dawa na Vipodozi Zanzibar (ZFDA) imewakumbusha Wafanyabiashara wanaoingiza bidhaa za Chakula kutoka nje kuhakikisha wanafuata miongozo,...
View ArticleSPIKA NDUGAI AONGOZA HAFLA YA UZINDUZI MAALUM YA UJENZI WA VYOO BORA KWA...
pika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na wageni waalikwa waliofika katika uzinduzi wa hafla Maalum ya Ujenzi wa Vyoo Bora kwa Maendeleo ya Mtoto wa kike nchini ya Kuchangisha fedha...
View ArticleASILIMIA 7 HADI 16 YA WANAWAKE WOTE DUNIANI NI WAJANE
Na Anthony Ishengoma WAMJW.Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Umoja wa Mataifa unaonesha kuwa kati ya asilimia 7 na 16 ya wanawake wote duniani ni Wajane. Jamii imetakiwa kuendeleza mipango na...
View ArticleMATUKIO KATIKA PICHA MATEMBEZI YA SIKOSELI VIWANJA VYA MWEMBAYANGA
Picha ya pamoja ikiongozwa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akiwa na watoto wenye sikoseli baada ya matembezi yaliyofanyika mapema leo katika viwanja vya...
View ArticleWANAWAKE KWA KUSHIRIKIANA NA WAUME ZENU ANDIKENI WOSIA KABLA MAUTI HAIJAWAKUTA
Na.Vero Ignatus Arusha.Imeelezwa kuwa kuandaa wosia mapema kabla ya kifo inasaidia kuepuka mogogoro ya mirathi ambayo imekuwa ikiwakumba wajane.Hayo yamesemwa na Naibu meya wa jiji la Arusha Viola...
View ArticleWASHINDI WA KAMPENI YA MATUMIZI YA "TEMBOCARDVISA" WA BENKI YA CRDB WAUNGANA...
Washindi wa Promosheni ya Shuhudia Kombe la Dunia na TemboCardVisa ya Benki ya CRDB, Nuru Nassor Kisome (katikati) na Danford Martin Muyango (wa pili kulia) wakiwa na washabiki wa timu ya Mexico...
View ArticleMAKONDA AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA AFRICANA KINZUDI
Na Emmanuel Masala, Globu ya jamii MKUU wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda ameweka jiwe la msingi kuashiria kuanza kwa ujenzi wa Barabara ya Africana Kinzudi yenye urefu wa kilometer 3.3 ambayo...
View ArticleNAIBU WAZIRI SHONZA AZINDUA ONESHO LA ADORABLE WEDDING TRADE FAIR 2018 JIJINI...
Uzinduzi rasmi wa onesho la Adorableweddingtradefair2018 umefanyika jana jumamosi ndani ya ukumbi wa King Solomon,Namanga jijini Dar,ambapo Mgeni rasmi alikuwa ni Naibu waziri wa Habari...
View ArticleSPIKA NDUGAI AONGOZA HARAMBEE YA UZINDUZI MAALUM YA UJENZI WA VYOO BORA KWA...
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na wageni waalikwa waliofika katika uzinduzi wa hafla Maalum ya Ujenzi wa Vyoo Bora kwa Maendeleo ya Mtoto wa kike nchini ya Kuchangisha fedha...
View ArticleMWENYEKITI WA MTAA MJINI TARIME AVAMIWA,APIGWA MAPANGA, APORWA FEDHA
Na Frankius Cleophace TarimeMWENYEKITI wa Mtaa wa Mtaa wa Bugosi Kata ya Nyamisangura Mjini Tarime mkoani Mara Zacharia Ghati amevamiwa akiwa njiani na watu wanaodhaniwa kuwa vibaka na kumshambulia kwa...
View ArticleProf. Kamuzora Akagua Ujenzi wa chumba kitakacho toa huduma za Mfumo...
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Prof. Faustin Kamuzora (Sera na Uratibu) akiweka saini kwenye kitabu cha wageni wakati wa ziara fupi kukagua ujenzi wa chumba kitakachokuwa kinatoa huduma za Mfumo...
View ArticleBALOZI WA TANZANIA NCHINI AFRIKA KUSINI AKUTANISHA WATANZANIA WAISHIO HUKO,...
Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini Mhe. Sylvester Mwakinyuke Ambokile Jumamosi Juni 23, 2018 amekutana na kufanya mazungumzo na Watanzania wanaoishi nchini humo, na kuwaongoza katika kuunda umoja...
View Article
More Pages to Explore .....