SERIKALI YAPIGA VITA WANANCHI KUMALIZA KESI ZA UKATILI KIENYEJI.
Na Frankius Cleophace RoryaSerikali Wilayani Rorya Mkoani Mara imepiga Marufuku Jamii kumaliza kesi zinazohusu Ukatili wa Kijinsia Ukiwemo Ubakaji, Utelekezaji wa watoto wadogo, Kuchomwa Moto na...
View ArticleWatanzania kumjua Mengi kupitia uzinduzi wake wa kitabu kuhusu maisha yake
KUNA maswali mengi sana yanayoulizwa na watu mbalimbali kuhusu mfanyabiashara maarufu hapa nchini, Dk. Reginald Mengi, alivyoweza kufikia nafasi aliyonayo kwa sasa akimiliki makampuni kadhaa na mengine...
View ArticleMKAPA ATAKA WATAALAM WOTE, TAASISI ZINAZOHUSIKA NA UMEME-JUA KUPANUA WIGO...
*Azindua kitabu cha Mafunzo ya umeme wa jua *Atashauri kisambazwe kwa wataalam ,mafundi mitambo Na Said Mwishehe,Globu ya jamii RAIS Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Tatu Benjamin Mkapa amewataka...
View ArticleIntroducing "TATIZO NI CHAKULA" by BASSAT
City Music present to you Bassat na wimbo wake mpya unao kwenda kwa la TATIZO NI CHAKULA. Bassat ni kati ya wasanii wanao fanya katika industry ya music Tanzania kwa sasa...
View ArticleWAMISRI WAOMBA KUWEKEZA KATIKA MIRADI YA UMEME NCHINI
Na Veronica Simba – DodomaUjumbe kutoka Kampuni ya ORASCOM ya Misri, wamemtembelea Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani na kuzungumza naye kuhusu nia yao ya kuwekeza katika miradi ya kuzalisha umeme...
View ArticleWatanzania kumjua Mengi kupitia uzinduzi wake wa kitabu kuhusu maisha yake
KUNA maswali mengi sana yanayoulizwa na watu mbalimbali kuhusu mfanyabiashara maarufu hapa nchini, Dk. Reginald Mengi, alivyoweza kufikia nafasi aliyonayo kwa sasa akimiliki makampuni kadhaa na mengine...
View ArticleWashindi wa Mawakala wa Tigo Pesa kanda kaskazini wapatikana
Meneja wa Kampuni ya Mawasiliano ya Simu za Mkononi Tigo kanda ya Kaskazini, Aidan Komba akikabidhi mfano wa Hundi ya Sh Milioni moja kwa mshindi wa Pili, Kanda ya Kaskazini wa Promosheni...
View ArticleWALIMU WASTAAFU KUANZISHA SHULE YA MFANO SONGEA
Walimu wastaafu katika manispaa ya Songea mkoani Ruvuma wanatarajia kuanzisha shule ya Sekondari ya mfano katika manispaa hiyo.Wakiongea kwenye kikao chao cha Taasisi ya walimu wastaafu Songea...
View ArticleKATIBU MKUU SIHABA NKINGA AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA ABBOTT FUND
Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Sihaba Nkinga akisalimiana na Makamu wa Rais wa Abbott Fund kutoka Marekani Bw. Andy Wilson wakati Makamu wa Rais wa Mfuko huo alipomtembelea...
View ArticleDATA ANALYSIS TRAINING
Download Application form here https://goo.gl/forms/w1cS7MccCxg8o4Kq2
View ArticleMBUNGE KUBENEA ATOA USHAURI KWA SERIKALI KUBORESHA MRADI WA MABASI YA MWENDO...
*Uchache wa mabasi wasababisha mlundikano wa abiria vituoniHumphrey Shao, Globu ya JamiiMBUNGE wa Ubungo jijini Dar es Salaam Saed Kubenea ameishauri Serikali kuifuta kodi kwa mabasi ya mwendokasi 70...
View ArticleTAARIFA KUHUSU KUHAMISHA SOKO LA KATENGELE - WILAYANI ILEJE
JIOGRAFIA/MAHALI LILIPO SOKO.Soko la Katengele linapatikana katika vilele vya milima yenye msitu ujulikanao kama Iyondo - Mswima wenye miti ya asili na ile ya kupandwa ukizungukwa na Kata za Kalembo,...
View ArticleBENKI YA CRDB YAIPIGA TAFU VIFAA VYA MICHEZO TIMU YA MAGEREZA DAR
Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa (kushoto) akikabidhi jezi kwa Afisa Mipango wa Magereza Dar FC, Insp. William Mkamba (wa pili kushoto) ikiwa...
View Article'KUNA ONGEZEKO KUBWA LA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA'
Na Humphrey Shao, Globu ya Jamii.SERIKALI imesema kumekuwa na ongezeko kubwa la magonjwa yasiyoambukiza kwa kipindi cha miaka ya hivi karibuni hali inayotishia afya ya mama na mtoto wakati wa...
View ArticleUNFPA ITAENDELEA KUTOA MASHIRIKIANO KUENDELEZA UZAZI SALAMA ZANZIBAR
Na Mwashungi Tahir - Maelezo Zanzibar Mwakilishi Mkaazi wa Shirika la Kimataifa linaloshuhulikia Idadi ya watu Duniani UNFPA Jaqline Mohan amesema Shirika lake litaendelea kutoa mashirikiano katika...
View ArticleKATIBU MKUU SIHABA NKINGA AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA ABBOTT FUND
Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bibi. Sihaba Nkinga akisalimiana na Makamu wa Rais wa Abbott Fund kutoka Marekani Bw. Andy Wilson wakati Makamu wa Rais wa Mfuko huo...
View ArticleKAMATI YA BUNGE YA MAMBO YA NJE YAKUTANA NA WABUNGE KUTOKA GAUTENG AFRIKA YA...
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama Mhe. Mussa Zungu (katikati) akizungumza na Waheshimiwa Wabunge (hawapo kwenye picha) kutoka Jimbo la Gauteng lililopo Afika...
View ArticleVIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA NCHINI WATAKIWA KUFUATA SHERIA , KANUNI
Na Emmauel Masaka, Globu ya jamiiMSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Francis Mutungi amewataka viongozi wa vyama vya siasa nchini na wanachama kutekeleza majukumu yao ya kisiasa kwa kufuata na...
View Article
More Pages to Explore .....