TAARIFA YA ZIARA YA WAZIRI MAHIGA NCHINI NORWAY
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeihakikishia Serikali ya Norway kuwa inaendelea kuelekeza nguvu zake kwenye kuweka mikakati sahihi ya kuvutia uwekezaji kutoka nje ya nchi, ikiwemo nchi...
View ArticleWANAWAKE WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA WAUME ZAO KATIKA KUJILETEA MAENDELEO NA...
Na Frankius Cleophace TarimeWanawake wametakiwa kujenga Umoja na Ushirikiano na Waume zao pamoja nakuwa waaminifu katika kutunza mali zao ikiwemo fedha ili kujiinua na kuongeza Uchumi wa Nchi kwa...
View ArticleMAKAMU WA RAIS AKUTANA NA BALOZI WA SWEDEN NCHINI ANAYEMALIZA MUDA WAKE
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumzana Balozi wa Sweden nchini Mhe. Katarina Rangnitt ambaye amemaliza muda wake wa kazi .Balozi Katarina Rangnitt...
View ArticleZFDA YAKAMATA BIDHA MBALIMBALI ZISIZOFAA KWA MATUMIZI YA BINADAMU
Ramadhani Ali – Maelezo ZanzibarWakala wa Chakula na Dawa Zanzibar (ZFDA) imezuia kusambazwa bidhaa za chakula na vipodozi zilizoingizwa nchini kwa ajili ya mwezi mtukufu wa Ramadhani na siku kuu ya...
View ArticleJAJI WA MAHAKAMA KUU YA NCHINI UGANDA ATEMBELEA JENGO JIPYA LA KISASA LA...
Jaji wa Mahakama Kuu ya Uganda, Mhe. Paul Gadenya akitia saini kitabu cha wageni pindi alipowasili katika Mahakama ya Wilaya Kigamboni kujionea jengo hilo la kisasa lililojengwa kwa teknolojia ya...
View ArticleWASAFI TV RASMI NDANI STARTIMES
KAMPUNI ya Star Media (T) Ltd kupitia chapa yake ya StarTimes imetangaza rasmi uwepo masafa ya Wasafi TV katika king'amuzi cha Startimes kupitia king’amuzi chake, uzinduzi huo umefanyika leo June 19...
View ArticleArticle 4
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.BENKI ya Rasilimali Tanzania TIB Corporate imewataka wateja wake kutoa maoni yao juu ya huduma wanazopatiwa katika benki hizo ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya utumishi...
View ArticleVYUO VIKUU VYATAKIWA KUJIKITA KATIKA SERA YA UCHUMI WA VIWANDA
Na Karama Kenyunko, Blogu ya jamiiVyuo Vikuu nchini vimetakiwa kuhakikisha vinafundisha kozi zitakazozalisha wataalamu wengi watakaoendana na Sera ya Serikali ya awamu ya tano ya uchumi wa viwanda.Rai...
View ArticleSANGA APIGA MARUFUKU MALORI KUPITA KATIKA MIUNDOMBINU INAYOTENGENEZWA
Na Leandra Gabriel, Blogu ya jamii.MKUU wa Wilaya ya Mkuranga Filberto Sanga amemshukuru Rais na viongozi wote ambao wanashiriki katika ujenzi wa taifa. Pia amehaidi kutoa ushirikiano wakandarasi ili...
View ArticleUfuta wa wafanyabiashara uliokamatwa Kibiti kuuzwa kwa mnada
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiUfuta uliokamatwa Halmashauri ya Kibiti kutokana na kukosa nyaraka ya mnada kutoka Halmashauri ya Rufiji unapigwa mnada ikiwa ni agizo la serikali ya kutaka mazao ya...
View ArticleANZISHENI KAMPENI ZA KUHAMASISHA UPIMAJI WA VVU-MAJALIWA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewaagiza Wakuu wa Mikoa yote nchini washirikiane na wadau wa mapambano dhidi ya VVU na UKIMWI kuanzisha kampeni ya kuhamasisha wananchi hususani wanaume kupima VVU na...
View ArticleHUKUMU KESI YA WEMA SEPETU MATUMIZI DAWA ZA KULEVYA KUTOLEWA JULAI 16
Na Karama Kenyunko, Blogu ya jamiiMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu Julai 16 mwaka 2018 inatarajia kusoma hukumu ya kesi ya kutumia dawa za kulevya inayomkabili Msanii maaruifu wa filamu nchini na Miss...
View ArticleOnly 18 Days To Go For The Biggest Concert In Chicago By Diamond Platnumz
Yeeeeeesssss....!!!July 6th At Alhambra palace 1240 W Randolph..The Question Is!!...Have you Purchased your Ticket??If Not Then Hurry Up And Purchase Your Tickets Now...FYI:Tickets Price Goes Up By...
View ArticleNGOMA AFRICA BAND KUTUMBUIZA JUMAPILI Julai 8, 2018 mjini MAMLING, AUSTRIA
Baada ya kuwadatisha washabiki katika maonyesho mawili makubwa kule Regensburg Festival na Birkenreid festival Ujerumani sasa kamanda Ras Makunja anakipeleka kikosi kazi cha Ngoma Africa band aka...
View ArticleWaziri Mkuu Kassim Majaliwa azindua kampeni ya kitaifa ya kupima VVU
Waziri Mkuu, Mhe Kassim Majaliwa akikata utepe katika uzinduzi wa kampeni ya kitaifa ya kupima VVU na kuanza kutumia dawa mapema ijulikanayo kama Furaha Yangu iliyofanfyika katika uwanja wa Jamhuri...
View ArticleTECNO SPARK 2, ANGAZA NYAKATI ZA MAISHA YAKO
TECNO SPARK 2, Angaza Nyakati za Maisha yako.TECNO inafanya vizuri kwenye soko la ‘smartphone’ Tanzania. Hii inajidhihirisha kutokana na jinsi simu ya Spark ilivyofanya vyema mwaka jana. Mwaka huu...
View ArticleNIGERIA YAVUTIWA NA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI...
Na Estom Sanga- TASAFMaafisa kutoka nchini Nigeria walioko nchini kujifunza namna Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF unavyotekeleza Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini wameipongeza serikali ya Tanzania kwa...
View ArticleTanzania sasa mwanachama wa mataifa yanayokataa taka
Na Nelson Nchobe wa LITADuniani kote taka ni kero au adha ndogo katika familia kwa sababu moja tu: katika ngazi ya kaya watu ni wachache na taka ni adha ambayo watu hao wachache wanaweza kuimudu. Ili...
View Article
More Pages to Explore .....