MAAJABU YA KIKOSI CHA ACELAND KINACHOTIKISA KOMBE LA DUNIA
Na Ripota Wetu,Globu ya jamiiKIKOSI cha Timu ya Taifa cha Iceland kinachoshiriki Michuano ya Kombe la Dunia inayoendelea nchini Urusi, kimekuwa gumzo kubwa kutokana na idadi kubwa ya wachezaji wake...
View ArticleMaonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma Yafana Muhimbili
Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu akizungumza katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) ambako maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanafaniyika kwa siku...
View ArticleWAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AFUNGUA KONGAMANO LA TATU LA UWEZESHAJI WANANCHI...
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizinduaTaarifa ya Utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi ya Mei 2017 Mpaka Mei 2018 baada ya kufungua Kongamano la Tatu la Uwezeshaji Wananchi...
View ArticleMEYA MSTAAFU KINONDONI AISHAURI JAMII KUDUMISHA AMANI, UPENDO
MEYA Mstaafu wa Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam Yusuph Mwenda ameishauri jamii kuendelea kudumisha amani na upendo hasa kipindi hiki ambacho Taifa linapopiga hatua za kimaendeleo chini ya...
View ArticleJAFO ATOA WIKI MBILI KWA WAKURUGENZI KUBAINISHA MAENEO YA UJENZI WA MADARASA
Na. Angela Msimbira OR-TAMISEMIWaziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Seleman Jafo ametoa wiki mbili kuanzia leo kwa Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa nchini...
View ArticleMufindi, PELUM kutoa Hatimiliki za kimila 700
Na Mwandishi WetuHalmashauri ya Wilaya ya Mufindi kwa kushirikiana na Shirika la PELUM Tanzania imeanza zoezi la kutoa hatimiliki za kimila zipatazo 747 kwa wananchi wa vijiji vitano vikiwemo vya...
View ArticleKILIMO CHA PAMBA KUNOGESHA MAPINDUZI YA VIWANDA
*Ni kutokana na juhudi za Serikali za kuhamasisha kilimo cha pamba ZAO la pamba ni miongoni mwa mazao makubwa ya biashara yaliyokuwa yakiliingizia Taifa fedha nyingi za kigeni na kuchangia kukuza...
View ArticleKALEMANI AFURAHISHWA NA WENYE NIA YA KUTENGENEZA VIFAA VINAVYOZUIA UPOTEVU WA...
Na Veronica Simba – DodomaWaziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani, amefurahishwa na maombi ya wawekezaji wa Kampuni ya CTC Power Equipment Co. Ltd, kutoka China, wenye nia ya kujenga Kiwanda cha...
View ArticleCALL FOR APPLICATIONS TO VARIOUS PROGRAMS FOR 2018/2019 ACADEMIC YEAR
Basic Technician Certificate Programs - NTA Level 41. Social Work2. Business Administration3. Labour Relations and Public Management4. Human Resources Management5. Community Work...
View ArticleWAJASIRIAMALI MKOA WA KIGOMA WAHIMIZWA KUYATUMIA VEMA MAFUNZO YA STADI ZA...
Na Abel Daud,Kigoma.MKUU wa Wilaya ya Kigoma, Samson Anga ametoa mwito kwa wajasiriamali mkoani Kigoma kuyatumia kwa vitendo mafunzo wanayopata ya stadi za biashara na ujasirimali kwani ndiyo njia...
View Article
More Pages to Explore .....