SERIKALI MKOANI SIMIYU YAITAKA JAMII KUSHIRIKI KIKAMILIFU KUPINGA MIMBA ZA...
Na Stella Kalinga, SimiyuSerikali Mkoani Simiyu imeitaka jamii kushiriki kikamilifu katika suala la kupinga mimba za utotoni ili kukabiliana na ongezeko la mimba lililofikia 195 kwa wanafunzi wa Shule...
View ArticleUNICEF Tanzania celebrates Father’s Day with renowned footballer, Ivo Mapunda
Former Taifa Stars goalkeeper calls upon fathers to play an effective role in parenting during their children’s early years.UNICEF Tanzania celebrated Father’s Day with renowned footballer and former...
View ArticleSERIKALI YAPIGA VITA AJIRA KWA WATOTO WILAYANI TARIME, YAHIMIZA KUWAPELEKA SHULE
Na Frankius Cleophacee Tarime.Serikali imepiga vita suala la Ajira kwa watoto wadogo ikiwemo kufanya biashara ndogondogo kwa watoto hao, badala yake wapelekwe shuleni na kuahidi kuwachukulia hatua kali...
View ArticleTTCL CORPORATION YAENDELEZA UTARATIBU WAKE WAKUSAIDIA WAHITAJI
Meneja Uhusiano wa TTCL Tanzania, Ndugu Nicodemus Thom Mushi (kulia), akikabidhi sehemu ya msaada wa vyakula na mahitaji mengine kwa niaba ya Mkugenzi Mkuu wa TTCL Corporation, Bw. Waziri Kindamba kwa...
View ArticleTGNP MTANDAO YAADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA KWA NJIA HII
Watoto kutoka maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salaam wakiwa na mabango yenye jumbe mbalimbali mapema jana katika kilele cha Siku ya Mtoto wa Afrika.Elimu bure inatakiwa iende sambamba na huduma...
View ArticleKIVUKO KIPYA CHA MV. MWANZA CHASHUSHWA KWENYE MAJI TAYARI KWA MAJARIBIO
NA ALFRED MGWENO (TEMESA MWANZA)Wakazi wa jiji la Mwanza mapema leo wameshuhudia tukio la kushushwa kwenye maji kwa Kivuko kipya cha MV. Mwanza baada ya kufikia hatua za mwisho za kukamilika kwa ujenzi...
View ArticleKIBITI YATEKELEZA AGIZO LA SERIKALI KWA KUUZA UFUTA KWA MFUMO WA STAKABADHI...
Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii, KibitiUfuta ni miongoni mwa mazao ya biashara katika Mkoa wa Pwani ambapo wakulima wamekuwa wanauza kwa wachuuzi na kufanya zao hilo kudumaa kutokana na kuuza kwa bei...
View ArticleCHADEMA YAWAVUA UWANACHAMA VIONGOZI WAKE TARIME,WAPOTEZA SIFA YA KUWA VIONGOZI
Na Frankius Cleophace Tarime.Viongozi watatu Wanaotokan ana Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA akiwemo Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Nyamwaga Wilayani Tarime Mkoani Mara wamevuliwa...
View ArticleWAZIRI JAFO ATOA AGIZO KWA WAKUU WA MIKOA WOTE NCHINI
Angela Msimbira OR-TAMISEMIWaziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Seleman Jafo ametoa muda wa miezi miwili kwa Wakuu wa Mikoa wote nchini kuanza kusimamia ujenzi wa...
View ArticleWAHAMIAJI HARAMU SITA WAKAMATWA PWANI
Na Mwamvua Mwinyi,PwaniJESHI la polisi mkoa wa Pwani, limewakamata wahamiaji haramu sita ,raia wa nchi ya Ethiopia na Somalia kwa kosa la kuingia nchini bila kibali.Aidha mkoa huo umemaliza...
View Article'BAKWATA HAITAKUBALI KUONEWA NA WATU WACHACHE,TUMEDHAMIRIA KUREJESHA MALI ZA...
NA BALTAZAR MASHAKA, MWANZABARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limesema halitakubali kuonewa na watu wachache na limedhamiria kurejesha mali za Waislamu zilizohodhiwa kwa maslahi ya wachache.Pia...
View ArticleBima ya afya na eneo la kutosha, changamoto kituo cha kulea watoto yatima cha...
Na Jumia Food TanzaniaKikiwa kimeanzishwa takribani miaka 10 iliyopita, kituo cha kulea watoto yatima cha Maunga kilichopo Kinondoni jijini Dar es Salaam kinakumbwa na changamoto kadhaa zikiwemo eneo...
View ArticleWasichana 40 Tarime wapewa Elimu ya kupinga Ukeketaji.
Na Frankius Cleophace Tarime.Wasichana 40 kutoka katika kata tofauti Wilayani Tarime Mkoani Mara wamepatiwa mafunzo ya uelimishaji rika katika Maeneo wanayotoka kwa lengo la kupinga Ukeketaji kwa Mtoto...
View Article
More Pages to Explore .....