KESI INAYOMKABILI WEMA SEPETU YAPIGWA KALENDA
Na Karama Kenyunko, Globu ya jamiiMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeipiga kalenda kesi ya matumizi ya dawa za kulevya inayomkabili Msanii na mlimbwende wa Tanzania mwaka 2006, Wema Sepetu na...
View ArticleBREAKING NYUZZZZZZZ......: TIMU YA TAIFA YA HISPANIA IMEMFUTA KAZI KOCHA...
Na Bakari Madjeshi, Globu ya JamiiIkiwa imebaki siku moja kuanza kwa Michuano ya Kombe la Dunia nchini Russia, Timu ya taifa ya Hispania rasmi imetangaza kumfuta kazi Kocha wake, Julen Lopetegui kama...
View ArticleNISHATI, JICA WAJADILI MPANGO WA MATUMIZI YA GESI ASILIA MAJUMBANI
Na Veronica Simba – DodomaKamishna wa Nishati Tanzania, Mhandisi Innocent Luoga, ameongoza Timu ya wataalam wa nishati, kupokea Rasimu ya Mpango unaolenga uainishaji wa mahitaji na matumizi ya gesi...
View ArticleSerikali Yafanikiwa kuendeleza Madawati ya Jinsia zaidi ya 500
Na Jacquiline Mrisho Serikali kupitia Jeshi la Polisi imefanikiwa kuwa na madawati ya jinsia zaidi ya 500 nchi nzima yanayosaidia kutatua na kutoa ufumbuzi wa haraka kwa mashauri ya...
View ArticleMOTO MKUBWA WATEKETEZA GHALA LA KUHIFADHIA BIDHAA KARIAKOO
Na Said Mwishehe, Globu ya jamiiTAHARUKI kubwa imeibuka katika Mtaa wa Livingstone na Agrey Kariakoo jijini Dar es Salaam baada ya moto mkubwa kuzuka na kuteketeza ghala la kuhifadhi bidhaa mbalimbali...
View ArticleSPIKA NDUGAI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA UONGOZI CHA KUPOKEA TAARIFA YA...
Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (katikati) akizungumza na Mawaziri, Wenyekiti wa kamati za kudumu za Bunge na Watendaji wakuu kutoka Serikalini (hawapo pichani) wakati wa kikao cha Kamati ya...
View Articleuteuzi wa wachezaji 3 watakaowania tuzo ya mchezaji bora wa Ligi Kuu wakamilika
Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), imekamilisha uteuzi wa wachezaji 3 watakaowania tuzo ya mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu wa 2017/2018.Wachezaji watatu waliobaki...
View ArticleCAF YATAJA WAAMUZI WATAKAOCHEZESHA MECHI YA YANGA NA GOR MAHIA KOMBE LA...
Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Africa CAF limetaja waamuzi kutoka nchini Somalia kuchezesha mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya makundi kati ya Gor Mahia ya Kenya na Young Africans ya Tanzania...
View ArticleMAHAKAMA YAELEZWA 'MHASIBU TAKUKURU' ALIVYOKUWA AKIFANYA MIAMALA YA UONGO...
Na Karama Kenyunko,Globu ya jamiiUPANDE wa mashtaka katika kesi ya utakatishaji na kumiliki utajiri kuliko kipato chake inayomkabili, aliyekuwa Mhasibu wa Takukuru Godfrey Gugai na wenzake umeieleza...
View ArticleBAKWATA YATOA MAELEKEZO KUUTANGAZA MWANDAMO MWEZI WA RAMADHAN KESHO
*Watoa shukrani kwa Rais Magufuli kufuatilia ujenzi wa msikiti mkuu BakwataNa Said Mwishehe,Globu ya jamii BARAZA Kuu la Waislam Tanzania(BAKWATA)limetoa maelekezo ya kuutangaza mwandamo wa Ramadhan...
View ArticleWAKURUGENZI SITA BODI YA MIKOPO WAACHISHWA KAZI KUTOKANA NA TUHUMA MBALIMBALI...
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiBODI ya Wakurugenzi ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HELB) imewachia kazi wakurugenzi sita kutokana tuhuma mbalimbali dhidi yao.Akizungumza leo jijini...
View ArticleAZANIA BANK YAWAFUTURISHA WATEJA WAKE NA WATOTO YATIMA DAR
AZANIA Benki inajivunia uzalishaji wa huduma kwa kila mmoja kwa wateja wake bila kujali dini, kabila na jinsia kwa faida na hasara kwa kuandaa futari pamoja na waislamu walioungana na wateja wa benki...
View ArticleMAMIA WAMLAKI KATIBU MKUU WA CCM ALIPOWASILI JIJINI DODOMA LEO
Mamia ya wananchi na wanachama wa CCM asubuhi ya leo wamemlaki Ndg. Bashiru Ally Kakurwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) alipowasili kwa mara ya kwanza jijini humo kama Katibu Mkuu wa CCM na...
View Article