ZIARA YA KITALII MUENDESHA PIKIPIKI KUTOKA NCHI YA OMAN
MUENDESHA Pikipiki kutoka Oman Maher Al Barwany akiingia katika Viwanja vya Wizara Ya Habari Utalii na Mambo ya Kale zilizopo Kikwajuni Mjini Zanzibar kwaajili ya ziara ya kitalii kwa kutumia pikipiki...
View ArticleWAZIRI UMMY KWA KUSHIRIKIANA NA SHIRIKA LA TIKA WAGAWA VYAKULA VYA SIKUKUU YA...
Na Assenga Oscar, Tanga WAZIRI wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto ambaye pia Mbunge wa Viti Maalumu (CCM)Mkoa wa Tanga Ummy Mwalimu kushoto akimkabidhi vyakula mkazi wa Jiji la Tanga...
View ArticleKUMBUKUMBU YA MAMA YETU MPENDWA MRS. ELIPINA MSANGI SEMKURUTO
Sisi familia tunatoa shukrani za pekee kwa Mungu kwa jinsi alivyoweza kutulinda na kutupa faraja ya pekee katika kipindi chote cha majonzi na hadi sasa unatimiza mwaka bila kuwa nawe. Tunakukumbuka...
View ArticleUBA-TANZANIA MEETS LEGENDARY INSPIRATIONAL FIGURE AND PROFFESIONAL ATHLETE...
On 29th May 2018, Lucky United Bank for Africa - Tanzania staff were visited by a legendary figure from the summer Olympics of 1968, Mr. John Steven Akwari who is famous for his quote "My country did...
View ArticleRAIS DK.SHEIN AWAFUTARISHA WANANCHI MKOA WA MJINI MAGHARIBI UNGUJA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) alipojumuika na Viongozi na Wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi katika Futari aliyowaandalia jana katika...
View ArticleVODACOM NA KWESE INFILIX KUTOA BURUDANI YA KOMBE LA DUNIA 2018 KIGANJANI
MASHABIKI wa soka wanatarajia kushuhudia michuano ya Kombe la Dunia inayoanza leo nchini Russia kupitia simu zao za mkononi kwa ushirikiano wa kampuni ya Vodacom Tanzania na Inflix.Akizungumza na...
View ArticleMADEREVA WALEVI KUKIONA
JOSEPH MPANGALA,MTWARAKamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara DCP Lucas Mkondya amewaonya Madereva wa Magari na Pikipiki Kuacha Kutumia Kilevi na baadaye Kuendesha Hasa katika Sikukuu ijayo ya Idd El...
View ArticleKAMISHNA MKUU WA TRA AWASHUKURU WAFANYABIASHARA JIJINI DODOMA
Na Veronica Kazimoto,Dodoma Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Charles Kichere amewashukuru wafanyabiashara jijini Dodoma kwa mchango wao wa kulipa kodi na kuiwezesha Serikali kutekeleza...
View ArticleMKURUGENZI MKUU TCAA ATHIBITISHWA KUWA MWENYEKITI WA CANSO KANDA YA AFRIKA
Shirikisho la Kimataifa la Huduma za Anga na uongozaji Ndege, maarufu kama (CANSO), katika mkutano wake mkuu wa 22 wa mwaka uliofanyika tarehe 12/06/2018 huko Bangkok, Thailand, limemthibitisha,...
View ArticleMASAUNI AFANYA ZIARA MKOANI GEITA, AKAGUA UJENZI WA KITUO KIPYA CHA POLISI,...
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (katikati), akionyeshwa na Mkuu wa Gereza Chato, Joseph Busumabu, maeneo mbalimbali ya Gereza hilo ambalo tayari linahifadhi wafungwa na...
View ArticleWANAFUNZI WATEMBELEA BUNGE KWA LENGO LA KUJIFUNZA SHUGHULI ZA BUNGE
Wanafunzi kutoka Shule ya Msingi Mount Kibo ya Jijini Dar es salaam wakiongozwa na Walimu wao wakiwa katika Majukwaa ya Wageni Bungeni kufuatilia Shughuli za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
View ArticleHOSPITALI YA TAALUMA NA TIBA MAMC, MLOGANZILA WAADHIMISHA SIKU YA KUCHANGIA DAMU
Hospitali ya Taaluma na Tiba ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi, Muhimbili MAMC, Mloganzila imeanza maadhimisho ya siku ya kuchangia damu kwa kufanya zoezi la uchangishaji damu kwa...
View Article
More Pages to Explore .....