MSEMAJI WA JESHI LA POLISI AFANYA ZIARA KATIKA STUDIO ZA WANENE...
Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini, Kamishna Msaidizi wa Polisi, (ACP) Barnabas Mwakalukwa akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Studio ya Wanene Entertainment Darsh Pandit alipotembelea Studio hiyo...
View ArticleRC KAGERA -VIONGOZI WA WILAYA WATOE USHIRIKIANO KUTAMBUA VIKUNDI ILI...
Na Editha Karlo wa blog ya Jamii Kagera.Mkuu wa Mkoa wa Kagera amewataka viongozi wote wa Wilaya kuhakikisha wanatoa ushirikiano katika kutambua vikundi vyote katika maeneo yao ili Mfuko wa Hifadhi ya...
View ArticleMAJERUHI WA AJALI MEATU WASAFIRISHWA KWENDA MUHIMBILI KWA MATIBABU ZAIDI
Na Stella Kalinga, SimiyuMadiwani tisa kati ya 11 wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu waliojeruhiwa katika ajali iliyotokea Juni 10, 2018 kwenye msafara wa Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Mhe. Kheri James...
View ArticleSPRITE BBALL KINGS MSIMU WA PILI WAZINDULIWA, USAILI JUNI 16 MLIMANI CITY
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.Mashindano ya Mpira wa Kikapu ya Sprite BBall Kings yamezinduliwa jana usaili ukitarajiwa kufanyika Mei 16 mwezi huu katika Viwanja vya Mlimani City Mall Jijini Dar es...
View ArticleDKT TIZEBA AFUNGUA MASOKO YA TUMBAKU KITAIFA WILAYANI KAHAMA
Na Mathias Canal, WK, Kahama-ShinyangaWaziri wa kilimo Mhe Dkt Charles Tizeba amefungua masoko ya tumbaku Kitaifa huku akitoa onyo kali kwa wakulima waliolima zao hilo nje ya mfumo wa ushirika kwa...
View ArticleHESHIMA YA MJUMBE CCM YASABABISHA RAIS KUTOA MAAGIZO UJENZI WA BARABARA...
Na Said Mwishehe, Globu ya jamiiRAIS Dk.John Magufuli ametoa maagizo kwa Wakala wa Barabara ya Vijijini (TARURA)wilayani Kinondoni Dar es Salaam kujenga barabara inayounganisha Kinondoni Shamba na...
View ArticleTANROAD YADAIWA KUKWAMISHA MRADI KUFUNGULIWA
Wakala wa barabara Mkoani Ruvuma TANROAD walikwamisha mradi wa ujenzi wa Daraja mto Litete lililopo katika kijiji cha Mkongo Gulioni wilayani Namtumbo liweze kufunguliwa na kiongozi wa mbio za Mwenge...
View ArticleRAIA 19 WA CHINA, WATANZANIA SITA KORTINI KWA TUHUMA ZA UHUJUMU UCHUMI
Na Karama Kenyunko, blogu ya JamiiRAIA 19 wa China na watanzania sita, wamepandishwa katika kizimba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu mashtaka ya uhujumu uchumi.Washtakiwa hao wanashtakiwa...
View ArticleMATUKIO MBALIMBALI YA WAZIRI MKUU LEO BUNGENI JIJINI DODOMA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Waziri wa Kilimo Mary Mwanjelwa, Bungeni jijini Dodoma Juni 12, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimsikiliza...
View ArticleMawakala Halo pesa sasa kuweka na kutoa fedha kupitia NMB
Katika kutekeleza azma ya kuboresha utoaji huduma za kifedha kwa wananchi wenye vipato tofauti, Kampuni ya mawasiliano ya Halotel na benki ya NMB zimeingia katika ushirikiano utakao wawezesha...
View ArticleSPRITE BBALL KINGS MSIMU WA PILI WAZINDULIWA, USAILI KUFANYIKA JUNI 16...
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii MASHINDANO ya Mpira wa Kikapu ya Sprite BBall Kings yamezinduliwa jana huku usaili ukitarajiwa kufanyika Mei 16 mwezi huu katika Viwanja vya Mlimani City Mall Jijini...
View ArticleMAHAKAMA YATUPILIA MBALI OMBI LA UPANDE WA UTETEZI KESI YA AKINA MBOWE, WENZAKE
Na Karama Kenyunko, blogu ya jamiMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imetupilia mbali ombi la upande wa utetezi katika kesi ya uchochezi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema na wenzake saba lililokuwa...
View ArticleWAZIRI JAFO: MABARAZA YA BIASHARA NI CHACHU YA KUKUZA UCHUMI WA VIWANDA
Uwepo wa Mabaraza ya Biashara nchini unachochea azma ya Serikali ya Awamu ya Tano ya kuifanya Tanzania inakuwa nchi ya viwanda na uchumi wa kati.Haya yamebainishwa leo Jijini Dodoma na Waziri wa Nchi...
View ArticleCHINA YAIOMBA TANZANIA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO WA KIDUNIA WA VIONGOZI WA...
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeombwa kuwa mwenyeji wa Mkutano wa kidunia wa viongozi wa vyama vya kisiasa, maombi haya yamewasilishwa na Balozi wa China nchini Tanzania Bi. Wang Ke alipotembelea Ofisi...
View ArticleBreaking news:: Kocha wa timu ya taifa ya Hispaniai kuinoa Real Madrid
Real Madrid CF imetangaza kwamba Julen Lopetegui atakinoa kikosi hicho cha kwanza kwa misimu mitatu ijayo.Julen Lopetegui ataungana na timu hiyo baada ya michuano ya kombe la dunia, baada yakukinoa...
View ArticleRC MAKONDA AKABIDHI KADI 220 ZA BIMA YA AFYA KWA WATOTO YATIMA NA WAISHIO...
Na Zainab Nyamka, Globu ya jamii MKUU wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda amekabidhi kadi 220 za Bima ya Afya (Toto Afya Card) zenye thamani ya zaidi ya Sh. milioni 11 kwa watoto yatima na waishio...
View ArticleHARAMBEE KWA AJILI YA MASHINDANO YA KIMATAIFA YA KIKAPU KANDA YA TANO KWA VIJANA
Let's walk the talk members...Naomba kuwashirikisha wadau wote katika matukio yetu yajayo ya kikapu, naomba mjumuike nasi kufanikisha mashindano ya kimataifa ya kikapu ya kanda ya tano kwa timu za...
View Article
More Pages to Explore .....