JAFO AMUAGIZA MKANDARASI KUBOMOA SAKAFU ILIYOJENGWA CHINI YA KIWANGO
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(Tamisemi) Selemani Jafo amemuagiza mkandarasi anayekarabati shule kongwe ya sekondari ya Malangali iliyopo wilayani Mufindi mkoani...
View ArticleWANACHAMA WA YANGA KWA KAULI MOJA WAKUBALI MABADILIKO
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.Wanachama wa Yanga kwa kauli moja wamfikia hatua ya makubaliano kwenda katika mfumo wa mabadiliko ambao utaruhusu timu hiyo kuwa Kampuni.Yanga iliyofanya mkutano wake...
View ArticleUSAID YAPONGEZA MCHANGO WA MFUKO WA MAENDELEO YA JAMII-TASAF KATIKA KUBORESHA...
Na. Estom Sanga-TASAF Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa -USAID, Andy Karas amefanya ziara katika mkoa wa Kagera na kukagua shughuli zinazofanywa na Mfuko wa Maendeleo ya...
View ArticleMANISPAA YA ILALA MABINGWA WA JUMLA UMITASHUMTA
Na Heri Shaaban MANISPAA ya Ilala wameibuka mabingwa wa jumla katika michezo yote ya mashindano ya umoja wa Shule za Msingi Umitashumta Mkoa wa Dar es Salaam na nafasi ya pili Wilaya ya Kinondoni na...
View ArticleKIFO CHA SAM WA UKWELI NI PIGO KUBWA KWANGU- RIDHIWANI KIKWETE
Na Shushu Joel, Chalinze MBUNGE wa Jimbo la Chalinze mkoani Pwani Ridhiwani Kikwete amesikitishwa na msiba wa msanii wa Bongo fleva Sam wa Ukweli aliyefariki dunia siku za karibuni.Akizungumza mara...
View ArticleKAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA DKT JUMA MALEWA AONGOZA KIKAO KAZI CHA...
Kamishna Jenerali wa Magereza, Dkt. Juma Malewa akiongoza kikao kazi cha Makamishna na Manaibu Kamishna wa Magereza Ofsini kwake leo Jumatatu 11, 2018 jijini Dar es Salaam. Jumla ya Maafisa 9 wa ngazi...
View ArticleRAIS DK.SHEIN AFUTARISHA MKOA KASKAZINI UNGUJA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akijumuika na Viongozi na Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja katika Swala ya Magharibi jana iliyoswalishwa...
View ArticleMWENYEKITI wa Mtandao wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) Cassim Taalib azikwa...
MWENYEKITI wa Mtandao wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) Cassim Taalib (67) amezikwa jana jumapili kwenye makaburi ya Mwanakerenge mjini Bagamoyo mkoa wa Pwani. Katika mazishi hayo yaliyowakusanya wasanii,...
View ArticleWaziri Kalemani aitaka Tanesco kukamilisha ukarabati wa miundombinu kabla ya...
Na Greyson Mwase, KageraWaziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani amelitaka Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), kuhakikisha linakamilisha kazi ya ukarabati wa miundombinu yote ya umeme nchi nzima kabla...
View ArticleBalozi Seif afanya ziara kijiji cha Bubujiko
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imekusudia kuwapunguzia gharama za ujenzi wa Mtaro wa Maji ya Mvua Wananchi wa Kijiji cha Bubujiko waliojitolea kuanzisha Mradi huo kwa lengo la kujiepusha na Mafuriko...
View ArticleMAKAMU WA RAIS AFUNGUA MKUTANO WA KIMATAIFA WA MASUALA YA JINSIA NA MAHAKAMA...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili kwenye kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC) tayari kufungua Mkutano wa Kimataifa unaohusu masuala...
View ArticleNEWS ALERT: MZEE JUMA MBIZO AINGIA STUDIO KUACHIA KIBAO CHA BONGO FLEVA NA...
Inaweza kukuwia vigumu kuamini, lakini ndiyo hivyo tena, akiwa anatimiza umri wa miaka 68, miaka 39 ya kuwepo kwenye fani za michezo na burudani, Mzee Juma Mbizo ameamua kuingia studio kwa mara kwanza...
View ArticleMwakyembe aipa mamlaka BMT kusimamia mchezo wa kuogelea
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati) akisisitiza jambo wakati wa mkutano wa pamoja baina ya serikali na viongozi wa zamani wa Chama Cha Kuogelea Nchini (TSA)...
View ArticleDSTV WANAKWAMBIA HIVIII.... mambo ni Motoooo!
Zikiwa zimesalia siku 3 tu kuelekea katika mashindano ya FIFA Kombe La Dunia 2018 nchini Urussi. DStv watakuwezesha wewe mteja wao kufurahia mechi zote 64 za michuano ya FIFA Kombe la Dunia 2018 LIVE...
View ArticleMwongozo wa ukuaji bora wa miji wazidi kunolewa
Na Mwandishi wetu,WATAFITI waliokuwa wakifanyia utafiti mada kuhusu ukuaji bora wa miji nchini Tanzania, wamekamilisha kazi hiyo na kuwasilisha katika mkutano mkubwa wa wadau chini ya mwavuli wa...
View ArticleRIDHIWANI APATA FUTARI NA VITUO VITANO VYA WATOTO YATIMA NYUMBANI KWAO MSOGA
Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete akizungumza baada ya kumaliza Iftar iliyoandaliwa na Tasisi ya Ko Innoavate kwa kushirikiana na Ofisi ya Mbunge wa Chalinze kwa Vituo Vitano vya Watototo Yatima...
View ArticleTRC WAPEWA MIEZI MITATU KUWEKA VIZUIZI MAENEO YOTE AMBAYO RELI INAKATIZA...
Na Said Mwishehe, Globu ya jamiiSHIRIKA la Reli Tanzania(TRC) limepewa muda wa miezi mitatu kuhakikisha maeneo yote ambayo reli inakatiza barabara kuwe na vizuizi badala ya kutegemea alama peke...
View ArticleZIARA YA ULEGA JIMBO LA MKURANGA YAPAMBA MOTO, SEKTA YA ELIMU YAPEWA KIPAUMBELE
Na Leandra Gabriel, Blogu ya jamiiMBUNGE wa Mkuranga na Naibu Waziri Ufugaji na Uvuvi Abdallah Ulega ameendelea na ziara yake katika jimbo la Mkuranga katika kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo na...
View ArticleWAZIRI PROF. MBARAWA ATOA MAAGIZO KWA BODI MPYA YA WAKURUGENZI TRC
*Ni baada ya RAHCO, TRL kuunganishwa, azindua bodi ya wakurugenzi TRC Na Said Mwishehe, Globu ya jamiiWAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa ameitaka Bodi mpya ya Wakurugezi...
View Article
More Pages to Explore .....