DCB WAJITOSA UDHAMINI NDONDO CUP, YAAHIDI KUTOA ELIMU YA HUDUMA ZA KIBENKI
Meneja Masoko wa Benki ya DCB Boyd Mwaisame akielezea namba watakavyokuwa wanawafungulia akaunti wachezaji na timu shiriki kupitia zawadi wakatazokuwa wanazitoa.Na Zainab Nyamka, Globu ya...
View ArticleKONGWA WAFANYA ZIARA MKOANI SIMIYU KUTEMBELEA MIRADI YA VIJANA ILI KUJIFUNZA
Na Stella Kalinga, SimiyuViongozi kutoka Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma wakiongozwa na Mkuu wa Wilaya hiyo, Mhe. Deo Ndejembi pamoja na baadhi ya viongozi wa vikundi vya vijana wilayani humo wamefanya...
View ArticleWAZIRI MWAKYEMBE AFUNGUA WARSHA YA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI MKOANI MOROGORO
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe akizungumza leo wakati wa ufunguzi wa Warsha ya Siku mbili ya Wahariri wa Vyombo vya Habari iliyofanyika mkoani Morogoro. Warsha...
View ArticleSPIKA NDUGAI AOSHA MAGARI KUHAMASISHA UCHANGIAJI WA FEDHA ZA UJENZI WA VYOO
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akiosha magari tofauti tofauti wakati wa shughui ya kuosha Magari kwa ajili ya kuchangia fedha za kujengea Vyoo vya mfano kwa ajili ya watoto wa Kike na wenye mahitaji...
View ArticleMtanzania atamba mpira wa meza Kenya
Na Mwandishi wetuMchezaji wa mpira meza wa Tanzania, Sara Alidina ameingia hatua ya mashindano ya mikoa ya Kenya iliyopangwa kuanza wiki ijayo baada ya kushinda medali ya fedha katika hatua ya...
View ArticleTEAM SAMATTA WAIPAPASA TEAM KIBA KWA 4-2 MBELE YA WAZIRI DKT MWAKYEMBE
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mh, Harisson Mwakyembe akitambulishwa wachezaji wa Team Ali Kiba na Msanii wa muziki wa kizazi kipya Bongo Fleva katika mchezo wa hisani uliofanyika kwenye...
View ArticleMABULA AHAKIKI UHAWILISHAJI ARDHI KATIKA VIJIJI VYA NAKAWALE NA LILAHI...
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Angelina Mabula akihakiki majina katika kijiji cha Nakawale halmashauri ya wilaya ya Songea mkoani Ruvuma wakati wa ziara yake ya kuhakiki...
View ArticleHII NDIO HISTORIA YA MUZIKI WA DISCO TANZANIA
Na Mwandishi wetu, Washington, DCNimeona nikae chini niipitie maandiko ya mhenga moja aliyeandika habari ya DISCO iliyokua na kichwa cha habari "WAHENGA TULITESA SANA ENZI ZETU DISCO LA MCHANA (BOOGIE)...
View ArticleTBF YAOMBA WADAU KUSAIDIA KUFANIKISHA MICHUANO YA KANDA YA TANO YA VIJANA
Let's walk the talk members ...Naomba kuwashirikisha wadau wote katika matukio yetu yajayo ya kikapu, naomba mjumuike nasi kufanikisha mashindano ya kimataifa ya kikapu ya kanda ya tano kwa timu za...
View ArticleJESHI LA POLISI PWANI LATOA ZAWADI ZA IDDI NA KUFUTURISHA WATOTO YATIMA KITUO...
Na Mwamvua Mwinyi, PwaniKAMANDA wa polisi mkoani Pwani (ACP) Jonathan Shanna,amewataka wananchi wenye uwezo kimaisha kutumia sehemu ya vipato vyao kuwezesha watoto yatima badala ya kuwaachia jukumu...
View ArticleMAFUNZO YA WISN NA POA YALIYOSHIRIKISHA MIKOA MINNE YAHITIMISHWA KWA MAFANIKIO.
Na. Andrew Chimesela, Morogoro Mafunzo ya kubaini mahitaji ya watumishi kwa kutumia mfumo unaojulikana kwa jina la kitaalamuWorkload Indicators of Staffing Needs - WISN na Prioritaization and...
View ArticleMBWANA SAMATTA AIPONGEZA KAMPUNI YA MAZIWA YA ASA
Nahodha wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Mbwana Samatta anayecheza soka lake nchini Ubeligiji katika klabu ya KRC Genk, Mbwana Samatta ameipongeza kampuni ya kuuza maziwa ya Asas...
View ArticleWaziri Mkuu atoa maelekezo kufufua michezo nchini
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa amesema hali ya kiwango cha michezo nchini si ya kuridhisha hivyo lazima wanamichezo kuanzia shule za awali, msingi, sekondari pamoja na...
View ArticleWAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AFUTURISHA JIJINI MWANZA, AWATAKA WATANZANIA...
Kassim Majaliwa amewataka Watanzania wasikubali kuchonganishwa na kwamba Serikali haiongozwi kwa misingi ya kidini bali imeziachia taasisi za kidini zifanye kazi kwa kuzingatia Katiba , Sheria za nchi...
View ArticleNaibu Waziri wa Kilimo, Dkt. Mary Mwanjelwa atembelea kampuni ya Tanzanice...
Makamu wenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge Kilimo,Mifugo na Maji Dkt.Christine Ishengoma(kushoto) akiangalia kwa makini kifungashio cha parachichi zinazozalishwa na kupakiwa na kampuni ya Tanzanice...
View ArticleJAFO AKERWA NA KUSUASUA KWA UJENZI WA KITUO CHA MABASI MJI WA NJOMBE
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), Selemani Jafo ameonyesha kukerwa kutokamilika kwa ujenzi wa kituo cha mabasi cha mji wa Njombe licha ya serikali fedha...
View ArticleULEGA AWAASA WANA-CCM MKURANGA KUUSEMEA UTEKELEZAJI WA ILANI
Na Mwamvua Mwinyi, Mkuranga Mbunge wa Jimbo la Mkuranga ,Abdallah Ulega, amesema anaandaa mpango mkakati utakaowezesha Chama Cha Mapinduzi (CCM) kushinda kwa kishindo katika chaguzi za serikali za...
View Article