WAZIRI MKUU AZIONYA ASASI ZISIZO ZA KISERIKALI
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amezitaka asasi zisizokuwa za Serikali (NGOs) zitekeleze majukumu yake kama ambavyo zimesajiliwa na ziache kufanya shughuli zilizo nje ya makubaliano.Amesema Serikali...
View ArticleHALMASHAURI YA BAGAMOYO YAKABILIWA NA CHANGAMOTO KUBWA YA MIUNDOMBINU KATIKA...
Na Mwamvua Mwinyi,BagamoyoHALMASHAURI ya wilaya ya Bagamoyo ,Pwani inakabiliwa na upungufu mkubwa wa miundombinu katika sekta ya elimu ikiwemo vyumba vya madarasa 367 ambapo shule za msingi kuna...
View ArticleKatibu Mkuu mpya UWT akabidhiwa Ofisi rasmi,awataka wanawake kushikamana...
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi Tanzania (UWT) Taifa, Gaudencia Kabaka akizungumza wakati wa hafla ya utambulisho wa Katibu Mkuu mpya wa Umoja huo Mwalimu Queen Mlozi pamoja na...
View ArticleJAMII ISHIRIKISHWE MABADILIKO TABIA NCHI KUWA NA KILIMO CHENYE TIJA
JAMII inayojitambua ndiyo inayoweza kutumika katika kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi.Aidha kushindikana kwa mipango mingi ya udhibiti wa uharibifu wa mazingira kunatokana na uelewa duni na...
View ArticleBenki ya CRDB na Jeshi la Polisi nchini kudumisha mahusiano ya kibiashara
Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei (wa pili kulia) akizungumza wakati uongozi wa Benki ya CRDB ulipotembelea Makao Makuu ya Jeshi la Polisi, jijini Dar es Salaam jana kwa ajili ya...
View ArticleMTANAGE NA KIKAPU KUPIGIWA WASHINGTON, DC OLD SCHOOL REUNIOUN DMV USIPIME
Its all About Fun, Food, Drinks, Fashion,Sports and Nyama chomaFrom Fri JULY 6 to Sun JULY 8, 2018Oxford Center9700 Martin L King Jr Hwy,Lanham, MD 20706Friday July 6, 2018from 9pm DMV International...
View ArticleRAIS DK.SHEIN AFUTARISHA MKANYAGENI PEMBA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akisalimiana na Viongozi mara alipowasili katika viwanja vya Skuli ya Sekondari ya Mkanyageni Wilaya ya...
View ArticleBREAKING NEWS:: WAZIRI DK. MWIGULU NCHEMBA AMSIMAMISHA KAZI MSAJILI WA...
*Wizara yake yaanza kumchunguza aliyesambaza nyaraka na matamko mitandaoni Na Said Mwishehe, Globu ya jamiiWAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi Dk. Mwigulu Nchemba ametangaza kumsimamisha kazi Msajili wa...
View ArticleIGP SIRRO AFANYA UKAGUZI WA KUSHTUKIZA KIKOSI CHA POLISI RELI
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro (katikati), akizungumza na Maofisa wa Jeshi hilo kikosi cha Polisi Reli Dar es salaam leo wakati alipofanya ukaguzi wa kushtukiza katika kikosi hicho kwa...
View ArticleAirtel kuendelea kuboresha huduma zake kwenda na teknolojia
Airtel yatangaza huduma mpya mbili, yatamba kuendelea kuboresha huduma zake kwendana na teknolojiaKampuni ya simu za mkononi Airtel Tanzania imehaidi kuendelea kutoa huduma bora na za kisasa kwa wateja...
View ArticleMKUU WA MAJESHI AHAMASISHA VIJANA KUJIUNGA JKT KUPATA STADI ZA KAZI...
Na Stella Kalinga, SimiyuMkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo amewahamasisha vijana kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa ili waweze kupata stadi za ufundi na hatimaye wajiajiri badala ya...
View ArticleTPA TANGA YAIBUKA MSHINDI KWA TAASISI ZA KISERIKALI ZILIZOSHIRIKI MAONESHO YA...
Naibu Waziri wa Maliasilia na Utalii Japhet Hasunga kushoto akimkabidhi Meneja wa Bandari ya Tanga Percival Salama kombe la mshindi wa kwanza wa taasisi za serikali zilizoshiriki maonyesho ya biashara...
View ArticleDKT. NZUKI AIWAKILISHA TANZANIA KWENYE MKUTANO WA UNWTO-AFRIKA NCHINI NIGERIA
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Aloyce Nzuki (kulia) akisalimiana na Waziri wa Utalii wa Kenya ambaye pia ni Mwenyekiti wa Shirika la Utalii la Umoja wa Mataifa barani Afrika...
View ArticleTABOA BADO WASUBIRI KUKUTANA NA WAZIRI MKUU,YAWAOMBA WAMILIKI WA MABASI...
Na Said Mwishehe,Globu ya jamiiKATIBU Mkuu wa Chama cha Wasafirishaji wa Mabasi Tanzania(TABOA) Enea Mrutu amewaomba wamiliki wote wa mabasi nchini kuendelea kutoa huduma za kusafirisha abiria kwa...
View ArticleMAKAMU WA RAIS MGENI RASMI KONGAMANO LA BIASHARA NA UWEKEZAJI KATI YA...
Na Said Mwishehe, Globu ya jamiiMAKAMU wa Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa Kongamano la Biashara kati ya Tanzania na Malawi ambalo litafanyika Julai 26 hadi...
View ArticleNACTE IMEFUTA USAJII KWA VYUO 20 , TISA VYASIMAMISHWA KUDAHILI
Na Said Mwishehe, Globu ya jamiiBARAZA la Taifa la Elimu ya Ufundi(NACTE)limetengaza kufuta usajili wa vyuo 20 baada ya kubaini vimeshindwa kufuata tararibu zinazoendana na matakwa ya usajili wa vyuo...
View Article
More Pages to Explore .....