Wizara ya Ulinzi ya Tanzania yasaini Mkataba wa Makubaliano na Serikali ya...
Mkuu wa Tawi la Usalama na Utambuzi Jeshini Brigedia Jenerali, Nicodemus Elias Mwangela pamoja na Mkuu wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa kwenye masuala ya Ulinzi katika Wizara ya Ulinzi ya Israel,...
View ArticleKAMPUNI YA ORYX GAS YAJIVUNIA KUWA RAFIKI WA MAZINGIRA
Na Emmanuel Masaka,Globu ya jamiiKAMPUNI ya mama katika usambazaji na uuzaji wa gesi ya ORYX nchini ijulikanayo kama ORYX ENERGIES LTD imekuwa mstari wa mbele katika kushirikiana na Serikali ili...
View ArticleMAHAKAMA YAELEZWA JALADA HALISI KESI VIGOGO WA UTHAMINI MADINI NA ALMASI WA...
Na Karama Kenyunko, blogu ya jamiiMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeelezwa kuwa, jalada halisi la kesi inayowakabili vigogo wawili wa uthamini wa madini ya almasi wa Serikali lipo kwa Mkurugenzi wa...
View ArticleYANGA , SIMBA VUTA NIKUVUTE CECAFA
Na Agness Francis,Globu ya JamiiWATANI wajadi Yanga Sc na SimbaSc wamepangwa kundi moja katika michuano ya Kombe la Kangame (CECAFA).Simba na Yanga wamepangwa kundi C la michuano hiyo inayojumuisha...
View ArticleSTAMICO KUJA NA NISHATI YA MAKAA YA MAWE KWA MATUMIZI YA MAJUMBANI,VIWANDANI
Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii SHIRIKA la Taifa la Madini (Stamico) limesema makaa ya mawe yakianza kutumika kama nishati ya kupikia kutapunguza matumizi ya mkaa kwa asilimia 15.Hayo yamesemwa na...
View ArticleHILI NDILO SANDUKU LITAKALOBEBA MIILI YA MAREHEMU MARIA NA CONSOLATA
Hili ndilo sanduku litakalobeba miili ya wapendwa wetu Marehemu Maria na Consolata likiwa tayari limekamilika kwa maziko hapo kesho katika makaburi ya masista na mapadre pamoja na viongozi wa kanisa...
View ArticleUGANDA YADHAMIRIA KUPITISHA SHEHENA ZA MIZIGO KUPITIA BANDARI YA DAR ES SALAAM
Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi wa Uganda, Mhandisi Monica Mtege amesema, nchi hiyo imedhamiria kupitisha shehena nyingi za mizigo yao katika bandari ya Dar es Salaam kwa...
View ArticleMISS UBUNGO MWAKA 2014 DIANA KATO ASHIRIKI SIKU YA MAZINGIRA KWA KUFANYA...
Na Ripota Wetu,Globu ya jamii.ALIYEKUWA Miss Ubungo jijini Dar es Salaam mwaka 2014-2016 Diana Joachim Kato ameshiriki kuadhimisha wiki ya mazingira kwa kufanya usafi katika Hospitali ya Rufaa ya Amana...
View ArticleMAJAMBAZI NANE NA WAHAMIAJI HARAMU SABA WAKAMATWA MKOA WA PWANI
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani JESHI la polisi Mkoa wa Pwani linawashikilia watu nane wanaosadikiwa kuwa majambazi kwa tuhuma za kuhusika na tukio la utekaji wa gari. Aidha jeshi hilo limefanikiwa kuwatia...
View ArticleBUNGE LAIDHINISHA BAJETI YA TRILIONI 12.058 KWA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO...
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) akionesha kitabu cha Mpango wa Maendeleo wa wa Taifa wa Miaka Mitano, wakati wa kuhitimisha hoja za Wabunge kuhusu bajeti ya Wizara ya...
View ArticleDC SHINYANGA AIBUKIA STENDI YA MABASI MAADHIMISHO SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI
I Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mheshimiwa Josephine Matiro ametembelea maeneo ya Stendi ya Mjini Shinyanga kukagua mazingira ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya mazingira duniani ambayo hufanyika...
View ArticleNAIBU WAZIRI WA ARDHI ANGELINA MABULA AANZA ZIARA MKOA WA LINDI NA KUHIMIZA...
Na Munir Shemweta, Liwale Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Angelina Mabula amesuluhisha mgogoro ulipo katika kijiji cha Kichonda kilichopo wilayani Liwale mkoa wa Lindi baina na...
View ArticleMWENYEKITI WA TAWA AKAGUA UHIFADHI SERENGETI, AWATAKA WALINZI WA WANYAMAPORI...
WALINZI wa wanyamapori katika maeneo yanayozunguka Pori ya Akiba la Maswa yanayopakana na Hifadhi ya Taifa ya Serengeti wametakiwa kuwa makini na waadilifu kutokana na kuongezeka kwa wanyama adimu...
View Article
More Pages to Explore .....